Unaenda 'New York City' na Fast jet mamii, nami naomba lift mtani-pick ferry!???
Khahahaaaa na wewe karibu mkuu
Unaenda 'New York City' na Fast jet mamii, nami naomba lift mtani-pick ferry!???
haya mkuu naona sasa hivi wewe ndio unapanga wapi niingie na wapi nisiingie ............ hivi mwenye forum ni shemeji yako?!
Issue ya de gea bhana...
Ivi mkuu vipi tumemsajili au ndo ana subiria?
De gea hauzwi according to van gaal.
Ila Rafael milango iko wazi.
Mechi kesho saa 12 asubui,,pia utaipata kwa startimes
Sawa mkuu
Vipi lakini amesajiliwa UNITED?
Madrid wameshakata tamaa ya kumchukua msimu huu Ed kawawekea ngumu, Jana wametoa taarifa kwa mujibu wa MARCA kwamba asisaini mkataba mpya watakuja kumchukua free msimu ikiisha na kumzawadia 5 mill
Madrid wameshakata tamaa ya kumchukua msimu huu Ed kawawekea ngumu, Jana wametoa taarifa kwa mujibu wa MARCA kwamba asisaini mkataba mpya watakuja kumchukua free msimu ikiisha na kumzawadia 5 mill
Naamini tukibeba kombe msimu huu na tukatia kazi nzuri CL De gea atabaki tu.
Kwa niaba ya MAN U fan witw tunakubaliana na ww kuwa tumesajili kibabu
Oky now its oveeeeeer.....
Watu wanasajili uwezo na si umri, kama umri mdogo ni jambo kubwa saaaaana kwa nini Remmy alikuwa anasubiri kwa Drogba?
Kumbee...
Alafu saivi tuna wachezaji wengi 32 tusipochukua ubingwa lol kuna mkono wa mtu
Mnawachezaji wengi ndio lkn mababu matupu yamekuja kushukua kiinua mgongo😀
kikubwa tufanye poa maana ukiangalia hela aliyo ahidiwa na. Madrid ni ndogo kuliko atakayopata akisaini mkataba mpya
Hahahaaa nani mzee? Toa mfano...
Carrick Bastian schwestier Rooney
hahahahaaa, ni mchezaji gan pale loosefool atakae waweka hao watu benchi?
Carrick Kwani si ana 33 ? Bastian 30 Rooney ana 29 mkuu hao mbona vijana kabisa alafu majembeCarrick Bastian schwestier Rooney