Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kwa huu usajili tuliofanya msimu huu naamini tutafanya poa ila tunahitaji beki wa kati
 
Mtaimprove kwa point 2 plus. Hakuna lolote jipya hao wachezaji watachemka kama kina Di Maria, Blind, Rojo walivyochemsha msimu uliopita.

Uzuri ni kwamba dua la rubaman halijawahi kuipata MANU....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
where is valdes?

Sina uhakika ila yawezekana kuna idadi fulani tuu ya waliohitajika kuwepo katika tour na boss anaonekana kutafuta makinda zaidi ili kuwapromote pia wengine bado likizo zao hazijaisha.
 
Hizi kelele za kijiweni zitakwisha Oktoba kama sio mapema zaidi Septemba. Wewe(everlenk) na kina Herrera na wengine mtapoteana humu. Hizo £75Milion plus mlizotumia hadi sasa mtaanza kuzijutia. Bookmark hii post.

Tujutie hela sisi !!! Hayo hayawezi tokea kamwe!!!
 
Hizi kelele za kijiweni zitakwisha Oktoba kama sio mapema zaidi Septemba. Wewe(everlenk) na kina Herrera na wengine mtapoteana humu. Hizo £75Milion plus mlizotumia hadi sasa mtaanza kuzijutia. Bookmark hii post.

Pasuka kabisa kwa hii... ImageUploadedByJamiiForums1436815332.596049.jpg
 
Team lowasa sasa hivi mna hasira kwel kwel mkiguswa kidogo tu mipovu inawatoka haswa.. ebu punguza kwanza mihemko alafu urudi tena

Embu tuliza mshono!' huo. .......sio kila unaemuona ni Team Mamvi.
 
tuwekeze nguvu kwenye kupata CB mzuri. otamendi atafaa, ila striker sidhani kama tutapata world class,, he would be under rooney's shadow anyway
 
Habari yenu wakuu......napitaga sana humu ingawa sijawahi kuchangia..
..Naomba mnikaribishe katika familia hii coz me n shabik mkubwa sana wa hii timu....na ni timu ninayoipenda duniani..
Hodi jaman....

Karibu sana kiongozi

GGMU
 
Hizi kelele za kijiweni zitakwisha Oktoba kama sio mapema zaidi Septemba. Wewe(everlenk) na kina Herrera na wengine mtapoteana humu. Hizo £75Milion plus mlizotumia hadi sasa mtaanza kuzijutia. Bookmark hii post.

Deluded

Mkuu subiria ku-contend 4th position
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
tuwekeze nguvu kwenye kupata CB mzuri. otamendi atafaa, ila striker sidhani kama tutapata world class,, he would be under rooney's shadow anyway

Kweli kabisa mkuu.....maana kwa beki yetu ile hata haiaminiki....mfano huyo Jones mpk injuries zimemzoea, Smalling naye ana mechi na mechi anakuwa fit......tukiongeza bek wa kat hata mmoja tu bila kusahau forward wa kusaidiana na Rooney na Wilson watatukoma sana msimu ujao...
 
Back
Top Bottom