Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hizi kelele za kijiweni zitakwisha Oktoba kama sio mapema zaidi Septemba. Wewe(everlenk) na kina Herrera na wengine mtapoteana humu. Hizo £75Milion plus mlizotumia hadi sasa mtaanza kuzijutia. Bookmark hii post.

Nasikia Wenger ye kisha funga dirisha LA usajili kwake,
 
Nasikia Wenger ye kisha funga dirisha LA usajili kwake,

Wenger anaweka mambo sawa kuja shopping Old Trafford. Muda si mrefu Arsenal tutakuwa Bayern Munich wa PL tunanunua wachezaji toka kwa rivals wetu kuuwa competitions.
 
ImageUploadedByJamiiForums1436843237.463156.jpg
 
Habari yenu wakuu......napitaga sana humu ingawa sijawahi kuchangia..
..Naomba mnikaribishe katika familia hii coz me n shabik mkubwa sana wa hii timu....na ni timu ninayoipenda duniani..
Hodi jaman....

Karibu OT. GGMU
 
Duh LVG na Ed bado wanataka kuwatia hofu wapinzani wetu.....

With Manchester United short of striker options, Paris Saint-Germain's Edinson Cavani is being lined up for a move to Old Trafford.
 
CJzZbaHWwAAt-p2.jpg



CJzZbd2XAAA5qiM.jpg


Hahaha wazee, hii siyo FastJet kweli? Halafu mnataka kumnunua Ramos, si mtarudi kupanda basi, hehe. Tuuzieni De Donuts, you can really use some cash bana. everlenk, Belo, Papupi, RRONDO, Herrera, come on y'all

Hahahahaha!! Kila siku nakwambia hata sisi nguvu ya hela tunayo tunaweza kasirika tukafanya lolote lile tukamrudisha Ronaldo na Ramos tukambeba hahaha....nyie wenye za Madafu Mbona £30 M zinawatoa roho?? Hamtaki kutoa subirini cha Bure bure mjiokotee embe mchangani....lol
 
Back
Top Bottom