Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ImageUploadedByJamiiForums1436799345.387090.jpg vijana wakiondoka kuelekea kwenye pre-season
 
What a surprise, double swoop ni sheeda. Tatizo sugu tushatatua, CB na striker haikuwa tatizo sana msimu uliopita maana somehow itakuwa ngumu kupenetrate kama pale kati kumekuwa solidified.

Walete by Mpoto.
 
mkuu gaitan asikupe taabu, ni mwaka wa 4 kama sio 5 tunakua linked nae, huu mchezo wakala wake ndiye anaeucheza kumtafutia soko LA kuja utd, ni kama gourcuff na arsenal enzi hzo, back to your guestion nimewahi muona mechi kama tatu japokua yalikua marudio ni wakawaida sana, winger ya kulia, Mara kumi kuwa na Luis nani kuliko huyu, (mawazo yangu)
I agree....Luis Nani is best than Gaitan
 
Nasikia the big boss Ed woodward anataka amsajili wenger ili amfundishe kubana matumizi... teh teh teh
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom