everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
![]()
Yaani jamaa aache hii, akapande FastJet?
Hahahaha!!! Si umemsikia lakini kawaambia anasubiri presha ya Iker ipoe kaomba asinunuliwe mwingine mwezi wa 8 anatia timu....naona mnamvutia na Ukapteni msipopandisha mshahara ujue wetu huyo......mna pesa lakini wachungu kama nini shauri yenu msimu huu mtakosa tena...lol.
️