everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Hela ipo matumizi yake kutumika......Tumia hela ikuzoeee....
Giggs: Sikiliza Bastian hakikisha zile 7 mlizompiga Brazil tukijumlisha na zile 8 tulizompiga yule mzee, safari hii tukikutana nao tuwapige 15.. 😀😂😂
Hahahahaha!!! Tumependeza hata Kabla ya shughuli......tukitupia je? tutapendeza Hamna mfanoe!!!.......upo best yangu Papupi mekumiss mbayaaa.....karibu home hapa ndo nyumbani kwenu....lol
Nimeshindwa kupita kimya....
Paulo Sergio De Souz yupo mtaani kwao kule Spain huku huwa haji ni mtoto wa get Kali.Nishakaribia aiseeh, sasa hivi tuko zetu kwa mzee Obama tukijiandaa na next season.... Paulo de souza umemficha wapi?
Paulo Sergio De Souz yupo mtaani kwao kule Spain huku huwa haji ni mtoto wa get Kali.
Habari yenu wakuu......napitaga sana humu ingawa sijawahi kuchangia..
..Naomba mnikaribishe katika familia hii coz me n shabik mkubwa sana wa hii timu....na ni timu ninayoipenda duniani..
Hodi jaman....
Ila laana ya machozi ya casillas itawatafuna, legend kama iker hawezi kuondoka vile Madrid kama mtoto yatima yaani hata kumuaga? Smh
Watu walikuwa na mapenzi na timu toka kitambo ati..View attachment 267822
Mwaka huu mtatukoma.
Usajili huu ni uliokwenda shule, unangalia timu nini inahitaji, kati azunguke Bastian, Carrick, Herrera kutakuwa na usalama kweli hapo?
Kuhusu £££ ngapi zimetumika , sisi sio City waliomnunua "Mjamaica" kwa £50 M .....Liverpool wameokota embe dodo kwa kweli
Sterling amevimba kichwa mapema kabla hajafanya la kuonekana. Anapokwenda sijui kama atapata muda wa kucheza kama alivyokuwa anapata Liverpool. Kitu kingine nachoona ule mwaka aliocheza na Suarez na Sturridge ndio ulikuwa wa mafanikio kwake kuliko msimu uliopita. Liverpool sidhani kama watammiss sana huyu dogo kama wanavyommiss Suarez na Sturridge. Muda utathibitisha kama Liverpool wamepata pesa za ubwete.
As far as signings zenu zinaweza kuimprove mlipoachia msimu uliopita lakini bado ni kitandawili.
Yale yale ya mwaka jana ya "heshima itarudi ". By October mtakuwa mnatafutana kupeana moyo lol. Hadi sasa mmeshamwaga £££ ngapi vile?
Nachokupendea huwa unaukubali ukweli .....Asante kwa kulitambua hilo si kuimprove Bali kubeba ndoo usijiskie vibaya kukiri hilo....umesahau msimu ulioisha ulisema tutamaliza wa Saba kama si wa 10,na ubovu ule tumemaliza namba nne tukiwa wazima je!??!!