Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kwetu sisi mashabiki mafanikio ya klabu ni kutwaa mataji,hayo masuala ya fedha sijui kitu sisi hayatuhusu.Kuhusu kutofanikiwa na LVH namaanisha hatutatwaa mataji chini ya LVG.

What makes you so sure hatuchukui vikombe?
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kocha ana influence pia kupata aina ya wachezaji Moyes angehamisha wachezaji wa Everton pale,angalia wachezaji anaosajili Rodgers pale Liverpool

Moyes alikuwa na draft nzuri tu ya wachezaji aliotaka kuwasajili,sisemi kwamba Moyes ni kocha mzuri sana kuwepo Man utd ila ninachosema mimi ni bora Moyes kuliko LVG.
 
Moyes alikuwa na draft nzuri tu ya wachezaji aliotaka kuwasajili,sisemi kwamba Moyes ni kocha mzuri sana kuwepo Man utd ila ninachosema mimi ni bora Moyes kuliko LVG.
Kwa maana hiyo unampendekeza DM kuliko LVG kwasababu yakuwa na draft nzuri ya wachezaji aliokuwa anataka kuwasajili??
Unadhani kinachomvutia mchezaji kusajiliwa ni kipi??
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mkuu mi ninachojua van gaal pale kaja kwa sababu kuu mbili, moja ni kazi yake ya ukocha as ussual pili ni kwajili ya kumpa uzoefu na maarifa giggs soon baada ya van gaal kuondoka giggs ndie atachukua nafasi, kama tujuavo giggs bado ni mchanga kiukocha, ilikua ni vigumu kuwapa nafasi watu kama Simeon ambao 98 tulikua tunawaona kombe LA dunia na jezi za Argentine eti Leo aje kumpa maujanja giggs kwa club kubwa kama Manchester, kitendo cha kumlemta van gaal kwa sasa sioni kama ni Shida kiivo, ni kocha mzoefu na mwenye mafanikio karibu kila timu anayofundisha,
Unafikiri kwa nn wasingemleta mou baada ya moyes kuvurunda wakati dream za mou ilikua ni kuja kufundisha Manchester siku moja? Sio kwamba hawakujua kuwa huyu mzee ana maamuzi ya aina Yake, but walijua kuwa utu uzima dawa, hebu angalia hata wakati wa mechi jinsi anavokua bize akimuelekeza giggs,
But all in all what we need is trophy and van gaal is the right person for that as long as we are Manchester united
#GGMU

umesema vizuri,lakini hoaja ni je;Man utd imekuwa tayari kurisk success yake tuliyoizoea ya kutwaa mataji at the expense ya kumpa Gigs uzoefu?what about fans?are we ready for that?(for me I am not ready),what about sponsors wanaomwaga mapesa yao klabuni je wako tayari kwa hilo?
 
Moyes alikuwa na draft nzuri tu ya wachezaji aliotaka kuwasajili,sisemi kwamba Moyes ni kocha mzuri sana kuwepo Man utd ila ninachosema mimi ni bora Moyes kuliko LVG.

huyo moyes unamtetea na hiyo. draft nzuri ya wachezaji hapana
 
umesema vizuri,lakini hoaja ni je;Man utd imekuwa tayari kurisk success yake tuliyoizoea ya kutwaa mataji at the expense ya kumpa Gigs uzoefu?what about fans?are we ready for that?(for me I am not ready),what about sponsors wanaomwaga mapesa yao klabuni je wako tayari kwa hilo?

Labda nikuulize kitu bro, van gaal umeanza kumfahamu lini?
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Na hao wakija na wasipo perform utasemaje?

What if LVG does a good job than them?

Ndiyo maana maana mara nyingi namaliza kwa kusema....labda LVG aniprove wrong....otherwise bado sijamkubali LVG,tena nikikumbuka baadhi ya mechi ambazo LVG maamuzi yake ya kijinga yalitucost hapo ndiyo namchukia kabi
 
with a serious note,I prefer Moyes to LVG

Inaonekana una personal reason Mzee, makocha huwa wanatengeneza CV zao kwa mafanikio huko nyuma,LVG ukiangalia CV yake huko nyuma ni wachache wanaomfikia kafundisha na kuchukua ubingwa Ajax,Barcelona na Bayern Munich ndio maana alipata kazi United .EPL ni special case ni ngumu sana kupata mafanikio rahisi kama hujazoea unless uikute timu ina kikosi kizuri.Moyes sio kocha mbaya but alipewa timu kipindi kigumu mno mtu kama LVG ndio alikuwa anatufaa
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Moyes alikuwa na draft nzuri tu ya wachezaji aliotaka kuwasajili,sisemi kwamba Moyes ni kocha mzuri sana kuwepo Man utd ila ninachosema mimi ni bora Moyes kuliko LVG.

Moyes aliwataka Kroos,Herrera,Bale,Fabregas,Alcantara lakini wote walimkataa but Fellaini alimpata kiulaini but angalia Pep alivyowapata Thiago,Alonso,Reina,Benatia au Jose alivyowapata Costa,Cesc,Zouma

Tatizo tumeshabikia hii timu most of time iko on top sababu ya SAF
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Please Nakapanya and #allMANUfamily let us have a positive attitude to our team, in The United we trust, we will make it, let our best wishes be with LVG so that our dreams come true. Never say failures, Confess Victory always.....GGMU
 

Attachments

  • 1436611892685.jpg
    1436611892685.jpg
    14.4 KB · Views: 146
Last edited by a moderator:
Fenerbahçe​ chairman Aziz Yildirim:
"The Robin van Persie​ transfer is
done."
 
Please Nakapanya and #allMANUfamily let us have a positive attitude to our team, in The United we trust, we will make it, let our best wishes be with LVG so that our dreams come true. Never say failures, Confess Victory always.....GGMU
Hahaha kimeanza kunuka humu kabla ligi haijaanza
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom