Mkuu mi ninachojua van gaal pale kaja kwa sababu kuu mbili, moja ni kazi yake ya ukocha as ussual pili ni kwajili ya kumpa uzoefu na maarifa giggs soon baada ya van gaal kuondoka giggs ndie atachukua nafasi, kama tujuavo giggs bado ni mchanga kiukocha, ilikua ni vigumu kuwapa nafasi watu kama Simeon ambao 98 tulikua tunawaona kombe LA dunia na jezi za Argentine eti Leo aje kumpa maujanja giggs kwa club kubwa kama Manchester, kitendo cha kumlemta van gaal kwa sasa sioni kama ni Shida kiivo, ni kocha mzoefu na mwenye mafanikio karibu kila timu anayofundisha,
Unafikiri kwa nn wasingemleta mou baada ya moyes kuvurunda wakati dream za mou ilikua ni kuja kufundisha Manchester siku moja? Sio kwamba hawakujua kuwa huyu mzee ana maamuzi ya aina Yake, but walijua kuwa utu uzima dawa, hebu angalia hata wakati wa mechi jinsi anavokua bize akimuelekeza giggs,
But all in all what we need is trophy and van gaal is the right person for that as long as we are Manchester united
#GGMU