Wazee wa tetes mpoooo leo kuna tetes ganii
Joking
ha ha ha ha ha ha ha tupo pamoja kaka.nilikuja kukusalimia
Kama RVP ataondoka lazima United watanunua striker challengeni kupata striker wa uhakika pia still tunahitaji kuongeza idadi ya magoli kutoka kwa viungo na mabeki wakitumika vizuri (Mata-10,Blind-3,Herrera 8,Depay-6,Young-5,Di Maria-10) hizo ni estimation tu so hawa viuongo wanaweza kufunga magoli zaidi ya 40.
Kipimo cha mafanikio kwako ni kipi? Kuna ambao watakuambia ni idadi ya makombe, wengine watakuambia ni kumaintain profit iliyokuwa inatengenezwa na Man Utd.
Una sababu gani nzito zinazokufanya usimuamini LVG? Ukisema Man Utd haitakaa ifanikiwe chini ya LVG ukimaanisha nini hasa?
Nani anafaa kuwa United? Tafadhali nitajie kocha anaefaa kuwa pale United.
Haumkubali LVG,unamkubali Moyes?
Yani ni mara kumi angebaki moyes akapewa fungu la usajili kuliko hyu bwana mashavu...yan simkubali tuu huyu mzee
Vp umeshamilizana na akina invisible?
invisible cna tatzo nae
Mkuu hayo magoli 40(estimation) toka kwa Midfielders nadhani ni ku-overstretch hata hivyo hakuna kisichowezekana. Kitu kingine kuwa na hao wachezaji wote msimu mzima(bila suspensions na injuries) ni vigumu. Naomba unikumbushe midfielders wangapi(toka top 6 teams) waliofunga jumla ya magoli 40 misimu 3 iliyopita.
calibre ya Diego Simeon,Jurgen Klop,Antonio Konte etc but not LVG...never...
calibre ya Diego Simeon,Jurgen Klop,Antonio Konte etc but not LVG...never...