Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

haaaaa!!! Humu humu itafanyika..... Umeninyima kufungua champagne ngoja niandae yangu......


Duh!!! Kuna watu mnajua kuyakimbia majukwaa yenu .....dah!! Mngepata vitatu mfululizo nahisi na Uzi ungekuwa closed ......
rubaman toka mafichoni ....lol

BAK yupo mtaa huu kweli?

Glazers wameshapata tajiri ..... .... Dangote anataka kununua Manure na golikipa wenu amesepa kazi mnayo mtamtegemea Young Diver chacha ... ... . poleni wakuu khe he khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 




Glazers wameshapata tajiri ..... .... Dangote anataka kununua Manure na golikipa wenu amesepa kazi mnayo mtamtegemea Young Diver chacha ... ... . poleni wakuu khe he khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Wacha mambo yako wewe Dangote hana hela ya kununua Manu ila ana hela ya kununua Arsenal.
 
Last edited by a moderator:
Wacha nisepe mie niangalie mechi ya Rafa chacha, amkung'ute huyu Warinka kama katoto kadogo .... ... ..

Hii mechi iliishaje nilizidiwa na usingizi nikaulaza. Mpaka naingia kulala ilikuwa set ya 2 na Wawirinka alikuwa anaongoza 4 - 1

Tiba
 
Hii mechi iliishaje nilizidiwa na usingizi nikaulaza. Mpaka naingia kulala ilikuwa set ya 2 na Wawirinka alikuwa anaongoza 4 - 1

Tiba

Ka-warinka kalishinda baada ya Rafa kupoteza 3 game points tukutane Roland Garros kama ataweza .... .... .. .khe khe lhe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ding ... Dong.
 
Back
Top Bottom