Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

11150556_1425759300797615_1911149178269510660_n.jpg


Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mashabiki wa Arsenal wanavyolia kama watoto yatima, kila siku wanalia tuuuu poleni
 
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

11136634_10152814250650592_5600027017753378174_n.jpg


Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kwa kipekee kabisa naomba nimsalimie rubaman Wacha1 na kashengo eeeh na leo tusemeje?? Ball possession without goal..........hala halaa Swansea!!!!!! Khe khe khe...........


Jana nikasema huyu De Gea katokea wapi Swansea kha kumbe ni garasa la Emirates Fab hahahaha!!! Fab was so mwaaaaaa!!!!

Gomiz ulikuwaje makini big up man!!!!!!! Refa katamani kuichomoa lakini holaaaa!!!!
 
Last edited by a moderator:
Duh!!! Kuna watu mnajua kuyakimbia majukwaa yenu .....dah!! Mngepata vitatu mfululizo nahisi na Uzi ungekuwa closed ...... rubaman toka mafichoni ....lol

Dada everlenk, sitaonekana hapa hadi siku ya FA CUP Final naingia katika likizo ya mitandao kwa wiki kadhaa. Naomba mniwie radhi #wakaangaSumu wote. Too much of anything isn't good.
 

@Wacha kuweweseka wewe pili pili iko Emirates nyie na Mafioso wenu mwaka wa 15 chacha hata uwanja hamna mmekalia dhuluma tu. Hizo pesa alizoiba urusi arobaini zinakaribia matajijua menyewe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ding ... Dong! Weka pics basi kutoka kwenye Cowshed?
 
Duh!!! Kuna watu mnajua kuyakimbia majukwaa yenu .....dah!! Mngepata vitatu mfululizo nahisi na Uzi ungekuwa closed ...... rubaman toka mafichoni ....lol

Summer imeanza mapema mwaka huu khe khe khe ke khe keeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, hivi weye bado unangojea EPL wenzio tunaangalia mambo ya FA cup kwanza @Wacha kuwa kama @Mungiki Brother.
 
289172F700000578-3083018-Arsene_Wenger_has_urged_Arsenal_to_strike_a_psychological_blow_o-a-4_1431690225050.jpg


Prof kama kawa anaandaa vijana kwa mtanange wa J2 .... ... .. .patamu hapo.

Bora umerudi nilifikiri ushawahi kamba kama kawaida yenu kimoja tu mnapotea hivi je mngepata vitatu mfufululizo si mngekuwa ni marehemu? Khe khe khe khe eeeeeeeee...... Mentor anasema wazee wa ball possession tunakutana j2 je nani mkali??????? Teh teh teh....
 
Last edited by a moderator:
Bora umerudi nilifikiri ushawahi kamba kama kawaida yenu kimoja tu mnapotea hivi je mngepata vitatu mfufululizo si mngekuwa ni marehemu? Khe khe khe khe eeeeeeeee...... Mentor anasema wazee wa ball possession tunakutana j2 je nani mkali??????? Teh teh teh....

Kwani tumepoteza mechi ngapi tangu January 2015? Wacheni wivu hivi sasa Gunners ndio tishio na ndio kipimo cha timu nyingi upende usipende.
 
Wakuu mtanange utaanza baada ya mechi ya Mancs na Swansea hadi sasa Swans 2 - 4 Mancs dakika ya 94 Toure de force & Bony ... ...... ... .

Prof na vijana wametua kwa mashetani tunategemea kuona kitale cha uhakika ..... ..... .... #COYG
 
Back
Top Bottom