Hatuitaki si shida yetu ubingwa tumekosa baaasi tunakampeni tenamwakani
Hahahaaa asee poleni....basi maombi yako plz leo tu win
Hatuitaki si shida yetu ubingwa tumekosa baaasi tunakampeni tenamwakani
Hahahaaa asee poleni....basi maombi yako plz leo tu win
Ha ha haaaa bola man city kuliko kuambea nyinyi ndo wachawi wetu
It is good kwamba unajua mtu wa kujilinganisha naye!!!
Ila hata sisi tunaweza kusema kama tungepoteza mechi tatu mfululizo kuanzia ile ya Liverpool bado tungekuwa mabingwa tu! HOW'S THAT!???
Mumy nakutegemea kwa updates naenda kwa Ntuzu kuangalia mpira naye leo nahitaji appetizer sijui ntawahi maana anakaa nje ya darisalama.....lol
Mumy nakutegemea kwa updates naenda kwa Ntuzu kuangalia mpira naye leo nahitaji appetizer sijui ntawahi maana anakaa nje ya darisalama.....lol
Hahahahaa Nina kisu kikali nitachana jeans zote.Kwa Ntuzu uwiiii huyu mtu si salama kabisa.....vaa surual tatu za jeans na mkanda wa kufungua na code
Karibu sn mamito tuangalie mupira wote.
Hahahahaa Nina kisu kikali nitachana jeans zote.
Njoo na wewe uangalie mpira.
Karibu sn mamito tuangalie mupira wote.
Hahahahaa Nina kisu kikali nitachana jeans zote.
Njoo na wewe uangalie mpira.
Hahaha!! Ushauri umezingatiwa tena ina short ya umeme kabisa akigusa tu anarushwa huko.......
Hahahaha!! Bora umeniambia maana kaniambia eti niende tu atanipa hadi Ferrari.....