Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Heshima ya kushinda hilo kombe mara tatu! Mara ya mwisho hata mtoto wa miaka 10 ameshuhudia! Hivi pamoja na kushiriki kwenu mara zote hizo mmeshinda mara ngapi vile?!

Nendeni mkashindane na Tottenham au West Ham sisi tuachieni Chelsea,Liverpool au Nottingham Forest coz we have something in common!

Umeisahau na Aston Villa
 
Heshima za kumaliza wa mwisho katika group sio? Haya tusubiri tuone hiyo heshima mnayojidanganya kuirudisha.
Soma picha inajieleza.
 

Attachments

  • 1431585120487.jpg
    1431585120487.jpg
    78.9 KB · Views: 131
Back
Top Bottom