Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Siku zote timu yetu ikifanya vibaya fans huwa tulalamika na kuponda sana...ila kwa hili la juzi wengi wetu tumeshindwa kulalamika badala yake tumeishia kulia tu...yahani majonzi yamekua makali to the extent wengi wetu tumeshindwa onge na kuishia kulia for sure I keep asking myself what went wrong mpaka tumeshindwa hata draw...mi mpaka nimeliota game...wanamanchester wenzangu mi kwa kweli jana nimeumia sana..kwangu imekua hard to swallow

Pole sana Mbeky majonzi Haya si yako peke yako ni yetu sote,hata nami kwa jana lilikuwa zito kulibeba kwa Mara ya kwanza maishani mwangu nilitoa machozi kwa kufungwa..... Inaumiza sana binafsi najiuliza tatizo ni nini ni kocha au wachezaji, kwa style tunayocheza ni kwamba opponent teams wameshatusoma ni ngumu kuchomoa..... Hizi game zote 3 style ni zile zile na tumeshindwa kwa makosa yale yale, najiuliza LVG halioni hili? Je tunapokuwa uwanjani haoni mapungufu yanayojitokeza? Hatuna key players ambao akifanya sub wanaweza badili matokeo? Dah!!! Inaumiza sana......
 
Last edited by a moderator:
Hilo ndiyo bonde la mauti na machungu yake hamkulipita kitambo huu ndiyo mda wenu na nyie kusikilizia machungu but yataisha tu kama team nyingine zilivyopita

Tumepita msimu uliopita yatosha sasa, now tulitakiwa tupumzike......
 
Tumepita msimu uliopita yatosha sasa, now tulitakiwa tupumzike......

Kutoka itategemea na uimara wa team yenu hebu iangalie man-u kwa jicho la tatu utajua kabisa inakosa watu angalia team yenu utagundua kuwa haina watu m-badala hata sub ya mtu mmoja tu team inaanza kupotea kabisa Mfn Carrick toka aumie hamjashinda pia Kumbukeni kuwa anapokuwepo mnapata matokeo mazuri.
Pili ni kama LVG anajaribu kubadilisha falsafa ya mpira wenu kutoka kwenye mipira mirefu na kuja kwenye pasi fupi fupi pasipo kuwa na wachezaji sahii
 
Siku zote timu yetu ikifanya vibaya fans huwa tulalamika na kuponda sana...ila kwa hili la juzi wengi wetu tumeshindwa kulalamika badala yake tumeishia kulia tu...yahani majonzi yamekua makali to the extent wengi wetu tumeshindwa onge na kuishia kulia for sure I keep asking myself what went wrong mpaka tumeshindwa hata draw...mi mpaka nimeliota game...wanamanchester wenzangu mi kwa kweli jana nimeumia sana..kwangu imekua hard to swallow

You gotta love manure fans, Lmao
 
Mmemzeesha mzee wa watu...

11193227_1414295051944040_2587253192819728848_n.jpg

 
11188374_1413738868666325_8569828033902119996_n.jpg


Khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
It does take quite some skill to lose a game after having 80% possession.

11209625_1413728025334076_5132468221301256363_n.jpg


 
Mentor pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiizzzzzzz stay away from us.........its enough aiseee..utanifanya niwe Mentor.......ubingwa ushachukua fujo za nini tena mzee!!! Embu tupumzishe tukapiganie haka kachansi kalikobaki kwa amani....... lol
 
Last edited by a moderator:
Who is Red? Who is die hard fan?

Tumepoteza mechi tatu mfululizo kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 13 na kukosa kufunga katika kipind hiki tangu mwaka 2007 na michezo hii ikiwa ni jumla ya SAA 4 na dakika 45, inaumiza sana lakini hatupaswi kukata tamaa bado nafasi tunayo tupambane mpaka dakika ya mwisho kitaeleweka tu.

Wana Mu family msijifiche tokeni kwenye mahandaki mliyopo hii ndo MANU yetu hatuna budi kujadili nini kinachotukumba,nini kifanyike basi ili jahazi liokolewe katika mechi zilizobaki. ..........GGMU

Iam Red.... how about you? cute b RRONDO kitwala Belo Nzi Bulldog Mbeky [MENTION=152495 [USER=37329]DonDonald[/USER] chiko18 mfarisayo MussoLIN sister Ngongo privacy
#MANUfans
 
Last edited by a moderator:
Duh ukweli ni kwamba nimeangalia mechi zote kuanzia Chelsea,Everto & hawa vibonde hata jina limenitoka nilichokiona ni possession sana hakuna attemtp za maana itabidi tubadilike sana hasa umaliziaji.

Who is Red? Who is die hard fan?

Tumepoteza mechi tatu mfululizo kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 13 na kukosa kufunga katika kipind hiki tangu mwaka 2007 na michezo hii ikiwa ni jumla ya SAA 4 na dakika 45, inaumiza sana lakini hatupaswi kukata tamaa bado nafasi tunayo tupambane mpaka dakika ya mwisho kitaeleweka tu.

Wana Mu family msijifiche tokeni kwenye mahandaki mliyopo hii ndo MANU yetu hatuna budi kujadili nini kinachotukumba,nini kifanyike basi ili jahazi liokolewe katika mechi zilizobaki. ..........GGMU

Iam Red.... how about you? cute b RRONDO kitwala Belo Nzi Bulldog Mbeky [MENTION=152495 [B]DonDonald[/B] chiko18 mfarisayo MussoLIN sister Ngongo privacy
#MANUfans
 
Who is Red? Who is die hard fan?

Tumepoteza mechi tatu mfululizo kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 13 na kukosa kufunga katika kipind hiki tangu mwaka 2007 na michezo hii ikiwa ni jumla ya SAA 4 na dakika 45, inaumiza sana lakini hatupaswi kukata tamaa bado nafasi tunayo tupambane mpaka dakika ya mwisho kitaeleweka tu.

Wana Mu family msijifiche tokeni kwenye mahandaki mliyopo hii ndo MANU yetu hatuna budi kujadili nini kinachotukumba,nini kifanyike basi ili jahazi liokolewe katika mechi zilizobaki. ..........GGMU

Iam Red.... how about you? cute b RRONDO kitwala Belo Nzi Bulldog Mbeky [MENTION=152495 [USER=37329]DonDonald[/USER] chiko18 mfarisayo MussoLIN sister Ngongo privacy
#MANUfans

Me too im Red forever no matter wat happn....
Ila daah ujue fans weng hii mech ya juzi imetusikitisha sana...tumefungiwa nyumban kabisa. Ilinichukua muda sana kurudi kwenye hali ya kawaida.
Nashindwa kuelewa ni kwamba wachezaji hawafanyagi mazoezi au? Maana kama mechi ya juzi tuliongoza kwa possession na pia kick on talent ila sasa sielewi ni nini kilikuwa kinashindikana pale golini.
Ilifika mahali nikatamani droo ila pia nayo ilishindikana everlenk.
Kwa kweli safari bado ndefu.
 
Last edited by a moderator:
Duh ukweli ni kwamba nimeangalia mechi zote kuanzia Chelsea,Everto & hawa vibonde hata jina limenitoka nilichokiona ni possession sana hakuna attemtp za maana itabidi tubadilike sana hasa umaliziaji.

Kwa kweli umaliziaji imekuwa tatizo sana, short on target imekuwa shida, inabidi techniques za kupeleka mpira kwenye box ziongezwe kwa wachezaji wetu, juzi na WBA niliona angalau japo si sana mipira ilifika kwenye box hasa kipindi cha kwanza na cha pili mwishoni lakini nashindwa kuelewa shida ilikuwa wapi.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Me too im Red forever no matter wat happn....
Ila daah ujue fans weng hii mech ya juzi imetusikitisha sana...tumefungiwa nyumban kabisa. Ilinichukua muda sana kurudi kwenye hali ya kawaida.
Nashindwa kuelewa ni kwamba wachezaji hawafanyagi mazoezi au? Maana kama mechi ya juzi tuliongoza kwa possession na pia kick on talent ila sasa sielewi ni nini kilikuwa kinashindikana pale golini.
Ilifika mahali nikatamani droo ila pia nayo ilishindikana everlenk.
Kwa kweli safari bado ndefu.

Pole sana wangu, tuombe sana Mungu hii mechi ya jmosi angalau atuone, juzi Crystal Palace wamecheza vizuri tuombe LVG aje na mbinu ambazo zitabadili matokeo.
 
Last edited by a moderator:
Me too im Red forever no matter wat happn....
Ila daah ujue fans weng hii mech ya juzi imetusikitisha sana...tumefungiwa nyumban kabisa. Ilinichukua muda sana kurudi kwenye hali ya kawaida.
Nashindwa kuelewa ni kwamba wachezaji hawafanyagi mazoezi au? Maana kama mechi ya juzi tuliongoza kwa possession na pia kick on talent ila sasa sielewi ni nini kilikuwa kinashindikana pale golini.
Ilifika mahali nikatamani droo ila pia nayo ilishindikana everlenk.
Kwa kweli safari bado ndefu.
Nowdays possesion without scoring as many as we can and win the game is nothing...
Timu inakosa ile plan mbadala wa kuwafanya opponent kufunguka hasa timu tulizokutana nazo ambazo style yao ni kujilinda sana hii nimeiona kuanzia mechi ya Chelsea na hii ya Baggie (West Brom )
Timu isipobadili mbinu hii basi tunaweza kuisikia CL kwa another season in row
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom