man u atapoteza mechi zote zilizobakia sidhani kama atashinda mechi ata moja
Acha izo
man u atapoteza mechi zote zilizobakia sidhani kama atashinda mechi ata moja
Iam Red too......but so discouraged....... Jana kwa Mara ya kwanza toka nifunge ndoa na MANU nimelia tena machozi haswaaaa..... Sijui matusi lakini jana nimeyaporomosha haswaa sijui hata yalikuwa yanatoka wapi.... Dah!! Nimeona hata aibu kwenda church ....dah!! Mungu anisamehe kwa yote......GGMU
Pole sana
Mimi navumilia tuu mpenz... natafuta mtu wa kuniuzi nimalizie machungu....Asante sana..... Mwenzio jana aaah!!! Ugumu wote uliyeyuka..... Naona wewe unajitahidi bado uko mgumu..... Vipi umetupia jezi yetu.
Iam Red too......but so discouraged....... Jana kwa Mara ya kwanza toka nifunge ndoa na MANU nimelia tena machozi haswaaaa..... Sijui matusi lakini jana nimeyaporomosha haswaa sijui hata yalikuwa yanatoka wapi.... Dah!! Nimeona hata aibu kwenda church ....dah!! Mungu anisamehe kwa yote......GGMU
Asante sana..... Mwenzio jana aaah!!! Ugumu wote uliyeyuka..... Naona wewe unajitahidi bado uko mgumu..... Vipi umetupia jezi yetu.
Mimi navumilia tuu mpenz... natafuta mtu wa kuniuzi nimalizie machungu....
Jezi ni lazma nivae ata iweje
Iam Red too......but so discouraged....... Jana kwa Mara ya kwanza toka nifunge ndoa na MANU nimelia tena machozi haswaaaa..... Sijui matusi lakini jana nimeyaporomosha haswaa sijui hata yalikuwa yanatoka wapi.... Dah!! Nimeona hata aibu kwenda church ....dah!! Mungu anisamehe kwa yote......GGMU
Poleni sn ma sports ladies.... Jana kwenu mambo yalikua sio mazuri. Naamini msimu ujao ntakua pouwa maana mengi ya kurekebisha LvG atakua amekwisha yaona. Kikubwa ametimiza malengo ya kuingia top four.
Mimi navumilia tuu mpenz... natafuta mtu wa kuniuzi nimalizie machungu....
Jezi ni lazma nivae ata iweje
Safiii sana hongera sana, mimi leo hapana hapa nina kelele nyingi naweza kummaliza mtu...ngoja nimalize machungu yangu kesho nitatupia......
Teehe teeehe teeehe mtani ungeyaporomosha humu ningekuanzishia uzi kule "Bring back everlenk"
Pole wacha me nifurahi wiki hii Kwa kila jambo
Tatizo mnafunga ndoa za kikristu...mwezako Mimi nipo kwa mkopo Liverpool. Wakiendelea kunizingua naama chama....
Poleni sn ma sports ladies.... Jana kwenu mambo yalikua sio mazuri. Naamini msimu ujao mtakua pouwa maana mengi ya kurekebisha LvG atakua amekwisha yaona. Kikubwa ametimiza malengo ya kuingia top four.
Pamoja sana mamie me too im red forever my pre hubby ni redy na tumeplan kuwa red adi kwenye harusi hehahahahaa
Wahaaaoooo!!!! Safi sana mkicheka mtacheka wote mkilia mtalia wote all the best mumy,wangu Chelsea yaani nakonda kwa kelele hapa si unajua tena watoto wa Mou walivyo na kelele......
Wahaaaoooo!!!! Safi sana mkicheka mtacheka wote mkilia mtalia wote all the best mumy,wangu Chelsea yaani nakonda kwa kelele hapa si unajua tena watoto wa Mou walivyo na kelele......
Najua madam Chelsea wana kelele sana......
Vipi ile siku walivyotufunga ulipona kweli? Hahahahaaaa