Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona LVG ame-copy and paste staili za Ajax na Barcelona lakini kasahau kuwafundisha jinsi ya kufunga magoli
 
Who is Red? Who is die hard fan?

Tumepoteza mechi tatu mfululizo kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 13 na kukosa kufunga katika kipind hiki tangu mwaka 2007 na michezo hii ikiwa ni jumla ya SAA 4 na dakika 45, inaumiza sana lakini hatupaswi kukata tamaa bado nafasi tunayo tupambane mpaka dakika ya mwisho kitaeleweka tu.

Wana Mu family msijifiche tokeni kwenye mahandaki mliyopo hii ndo MANU yetu hatuna budi kujadili nini kinachotukumba,nini kifanyike basi ili jahazi liokolewe katika mechi zilizobaki. ..........GGMU

Iam Red.... how about you? cute b RRONDO kitwala Belo Nzi Bulldog Mbeky [MENTION=152495 [USER=37329]DonDonald[/USER] chiko18 mfarisayo MussoLIN sister Ngongo privacy
#MANUfans

Teehe teehe tehee heshima yako mtani una roho ngumu kweli ... Bulldog kakimbia kabisa humu siku hizi ananipa motisha sana kuhusu magari
 
Last edited by a moderator:
Ninachokiona Man U ni hiki kifuatacho:
Ushindi wa Man U mechi 4 mfululizo ulitokea wakati Van Persie hayupo na uwepo wa Carrick.
Hii ina maanisha Fellain na Rooney kucheza namba zao stahiki.

Kinyume na hapo ni kumuona Rooney akirudishwa nyuma na Fellain kupanda mbele kama juzi.

Kitu kingine Van Gaal aache upendeleo katika upangaji wa timu, inawezekanaje kulazimisha Persie acheze dk 90 wakati amekaa benchi muda mrefu au kwa kuwa ni Mholanzi mwenzake. Kama haitoshi unampa kupiga penati mtu majeruhi? Haoni kama kukosa penati ile kulinyong'onyeza timu.

Ninaanza kuamini maneno ya watu kuwa ushindi ktk zile mechi nne mfululizo timu ilipangwa na Giggs.
 
Me too im Red forever no matter wat happn....
Ila daah ujue fans weng hii mech ya juzi imetusikitisha sana...tumefungiwa nyumban kabisa. Ilinichukua muda sana kurudi kwenye hali ya kawaida.
Nashindwa kuelewa ni kwamba wachezaji hawafanyagi mazoezi au? Maana kama mechi ya juzi tuliongoza kwa possession na pia kick on talent ila sasa sielewi ni nini kilikuwa kinashindikana pale golini.
Ilifika mahali nikatamani droo ila pia nayo ilishindikana everlenk.
Kwa kweli safari bado ndefu.

Mimi sasa hivi nikiona kocha amewapanga kuanza januzah, van persie then nione rooney amerudishwa nyuma huwa nazima tv kama nimo home au kama ni baa nahamia isiyokuwa na dstv.
Nimefanya hivyo mara kadhaa na imejibu ikiwemo juzi.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sasa hivi nikiona kocha amewapanga kuanza januzah, van persie then nione rooney amerudishwa nyuma huwa nazima tv kama nimo home au kama ni baa nahamia isiyokuwa na dstv.
Nimefanya hivyo mara kadhaa na imejibu ikiwemo juzi.

Hata nami sikupendezwa kabisa na kitendo cha RVP kupiga penalt, Rooney akirudishwa nyuma tu hakuna litakaloondelea, kwa kweli tunarudi tena kule nyuma ambako tuliteseka hatukuwa na first eleven inayoeleweka.....
 
Mentor pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiizzzzzzz stay away from us.........its enough aiseee..utanifanya niwe Mentor.......ubingwa ushachukua fujo za nini tena mzee!!! Embu tupumzishe tukapiganie haka kachansi kalikobaki kwa amani....... lol

Hahahahahahahaha Surely nimecheka sana

usikasirike take it easy mkuu
Mentor we mungiki ni balaa
 
Last edited by a moderator:
Mentor pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiizzzzzzz stay away from us.........its enough aiseee..utanifanya niwe Mentor.......ubingwa ushachukua fujo za nini tena mzee!!! Embu tupumzishe tukapiganie haka kachansi kalikobaki kwa amani....... lol

dont argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat u with an experience, chelsea kaenda five years without a trophy, arsenal ten years, liverpool two decades, manchester united only 3 yrs but ndio inaongelewa kuliko hao wengne, this simply tell me that MANCHESTER UNITED NDIO TIMU INAYOOGOPWA na wanajua watakua kwenye wakati mgumu pindi ikirudi kwenye moto wake, so let them use a small chance they got to talk,
VIVA UTD, am RED and i will always be
 
Last edited by a moderator:
dont argue with stupid people, they will lay down to their level and beat u with an experience, chelsea kaenda five years without a trophy, arsenal ten years, liverpool two decades, manchester united only 3 yrs but ndio inaongelewa kuliko hao wengne, this simply tell me that MANCHESTER UNITED NDIO TIMU INAYOOGOPWA na wanajua watakua kwenye wakati mgumu pindi ikirudi kwenye moto wake, so let them use a small chance they got to talk,
VIVA UTD, am RED and i will always be

Come on, it isn't three years...it is two seasons...SAF left United with EPL title..then United went blank under Moyes, and now under LvG.
 
dont argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat u with an experience, chelsea kaenda five years without a trophy, arsenal ten years, liverpool two decades, manchester united only 3 yrs but ndio inaongelewa kuliko hao wengne, this simply tell me that MANCHESTER UNITED NDIO TIMU INAYOOGOPWA na wanajua watakua kwenye wakati mgumu pindi ikirudi kwenye moto wake, so let them use a small chance they got to talk,
VIVA UTD, am RED and i will always be

Huna haki ya kumuita mwenzio Stupid kwa kuwa tu ana wa troll hapa

he is just enjoying joking you....huu utani upo JF sports muda tu usilete chuki

Maneno ya utani yapo kila siku humu watu hutaniana....usiwagombanishe hawa ndugu wawili

nahisi utakuwa mgeni wa haya majukwaa lakini #Utazoea tu ni sehemu ya burudani

ila mdada ameichukulia serious sana... Mentor punguza sindano kidogo usiue mgonjwa kabisa ndugu
 
Last edited by a moderator:
Huna haki ya kumuita mwenzio Stupid kwa kuwa tu ana wa troll hapa

he is just enjoying joking you....huu utani upo JF sports muda tu usilete chuki

Maneno ya utani yapo kila siku humu watu hutaniana....usiwagombanishe hawa ndugu wawili

nahisi utakuwa mgeni wa haya majukwaa lakini #Utazoea tu ni sehemu ya burudani

ila mdada ameichukulia serious sana... Mentor punguza sindano kidogo usiue mgonjwa kabisa ndugu

Hahahaha!! Hapana siyo serious kabisa mimi na Mentor twajuana vizuri sana, huu ni utani tu, na ukitaka uujue utani wetu vizuri nenda kwenye Uzi wao.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha bro kashengo naamini hata herrera kaisema hiyo stupid kiutani zaidi lol...kukosa kombe kunauma ujueeee. Kuna kipindi Nzi na Mbu walikuwa wakizozana hapa sisi binadamu tunashangaa ila all in the name of sports...yanaishia hapa hapa.

Having said that ndugu herrera na bi everlenk sitoacha kuja humu kuwa troll hata kidogo hata ingekua ni kwa msimu mmoja tu...hata ukame huanza na kukosa mvua kwa msimu mmoja..khe khe khe khe kheeeeeeeeeeee....

Na bado.

#teamBLUE
 
Last edited by a moderator:
Hahaha bro kashengo naamini hata herrera kaisema hiyo stupid kiutani zaidi lol...kukosa kombe kunauma ujueeee. Kuna kipindi Nzi na Mbu walikuwa wakizozana hapa sisi binadamu tunashangaa ila all in the name of sports...yanaishia hapa hapa.

Having said that ndugu herrera na bi everlenk sitoacha kuja humu kuwa troll hata kidogo hata ingekua ni kwa msimu mmoja tu...hata ukame huanza na kukosa mvua kwa msimu mmoja..khe khe khe khe kheeeeeeeeeeee....

Na bado.

#teamBLUE

Hahaha!!! Ukija nimeandaa manati nakupiga nayo....... nimeshakuhaidi kuna siku utalia zaidi yangu usinikimbie tu maana unavyojua kukimbia mwezi mzima unajificha.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom