Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

cute b pole sana aiseee
Ila ndo mchezo jiandaeni ili msimu ujao mwende UCL
 
Last edited by a moderator:
Hahahahah... Ntuzu.. our cute has a plan B... kumbe ndio maana alikua kimya, mjanja sana huyu.. hii plan B ikitumika lazima ujikombe ili arudi kwa nafasi yake.

#team_WBA .. #KTBFFH

Hahahaha!!! Wewe unafikir ningefanyaje kama mtu hataki kuelewa....... Leo vipi mnacheza? Aiseee mpaka nimeitapika na ratiba yote ya EPL....
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli wanatishia amani ......Mwenyezi atusaidie


You don't need to worry my dear.

Hizi team zingine ndogo ndogo hua zikikutana Na Chelsea inakua vita lkn zikikutana Na timu zingine zinakua nyanya.
 
You don't need to worry my dear.

Hizi team zingine ndogo ndogo hua zikikutana Na Chelsea inakua vita lkn zikikutana Na timu zingine zinakua nyanya.

Mmmm vita ni yoyote tu wanaekutana nae timu za midtable hazina maana kbs
 
Wako vizuri mno wameleta shida sana kwa Chelsea na wakiwa kwao ni wagumu

Hope you wont loose that maana sasa itakuwa ni balaa

Nimewaona wamecheza vizuri sana kwa kweli bahati haikuwa yao na pale kwenye kumalizia walikuwa na shida kidogo..... Natumai hatutapoteza tena.....
 
You don't need to worry my dear.

Hizi team zingine ndogo ndogo hua zikikutana Na Chelsea inakua vita lkn zikikutana Na timu zingine zinakua nyanya.

Kwa style tunayocheza sasahivi kwa kweli mtuombeee jamani......
 
Ndoo yetu hiyo
 

Attachments

  • 1430670940871.jpg
    1430670940871.jpg
    14.1 KB · Views: 108
Siku zote timu yetu ikifanya vibaya fans huwa tulalamika na kuponda sana...ila kwa hili la juzi wengi wetu tumeshindwa kulalamika badala yake tumeishia kulia tu...yahani majonzi yamekua makali to the extent wengi wetu tumeshindwa onge na kuishia kulia for sure I keep asking myself what went wrong mpaka tumeshindwa hata draw...mi mpaka nimeliota game...wanamanchester wenzangu mi kwa kweli jana nimeumia sana..kwangu imekua hard to swallow
 
Hilo ndiyo bonde la mauti na machungu yake hamkulipita kitambo huu ndiyo mda wenu na nyie kusikilizia machungu but yataisha tu kama team nyingine zilivyopita
 
Back
Top Bottom