Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

This is just a diplomatic language of world class players like Hazard! He did'nt mean you were more better! He knew that he had inflicted a good amount of pain on you, so to sooth you up he had to use such a considerate language, I hope you feel some relief although it does not change the score board!

according to you
 
Radamel Falcao has been paid nearly £3,000,000 since he last had a shot on target.


11162463_940930722632510_7968184038066020149_n.jpg


 
Ngoja tu-focus kwenye game ijayo dhidi ya Everton pale Goodison Park!

Hili ndo la maana kwasasa maana EPLtable sasahivi inatishia amani, na tusimpuuzie Everton hizi game zake mbili za mwisho si haba..... Haya MUSSOLIN na wadau wote wa MANU maoni yenu tafadhali kikosi gani kinafaa.......
 
Last edited by a moderator:
Hili ndo la maana kwasasa maana EPLtable sasahivi inatishia amani, na tusimpuuzie Everton hizi game zake mbili za mwisho si haba..... Haya MUSSOLIN na wadau wote wa MANU maoni yenu tafadhali kikosi gani kinafaa.......

sijamuona kaka yakp Malafyale leo hii....mzima yeye,maanake si kawaida yake akae siku nzima bila kuja humu...kulikoni???
 
Last edited by a moderator:
Hili ndo la maana kwasasa maana EPLtable sasahivi inatishia amani, na tusimpuuzie Everton hizi game zake mbili za mwisho si haba..... Haya MUSSOLIN na wadau wote wa MANU maoni yenu tafadhali kikosi gani kinafaa.......
Kikosi jiwe kile kile natumai watakuwa wamepona wote labda pass master pekee
 
Last edited by a moderator:
Welbeck habebeki ni hype na media ya UK tu ndio wanawapandisha kuhusu medali, hizo ni pumba tu MK Dons waliwatoa kamasi wana medali gani? Endeleeni kujiridhisha nyie tunafahamu bila brown envelopes ni watupu tu hamna lolote ... ... .. ding dong khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

mbaazi zikikosa maua
 
Masahihisho,
Falcao amechukuliwa kwa mkopo wa £ 6 m sio 20,LVG alikuwa smart sana kwenye usajili huu kama angesajiliwa permanent usajili wake ungefika £ m 50 kwa hiki kiwango kweli tungekuwa tumepata hasara

Di Maria ni flop kama unavyosema but ana assists 10 na amecheza game chache ukilinganisha na Cesc anayeongoza

Luke Shaw kama ulimuona game na Chelsea nafikiri unaweza ukatoa assessment vizuri,dogo atakuwepo United kwa zaidi ya miaka 10 kama Rio hiyo hela aliyonunuliwa itaonekana ndogo sana.Blind amesajiliwa kama kiungo sio full back but ni versatile player anacheza popote kumbuka Carrick umri umekwenda

Mwisho usitake kufananisha financial power ya Arsenal na Man United,tuna ubavu wa kuja kuchukua mchezaji hapo kwenu but hamna ubavu kuja kuchukua kwetu,now mna hela still mmesajili kina Chambers,Wellbeck

Thanks. Nilitoa data £20M toka telegraph.co.uk nimecheki Bbc nimeona upo sahihi ni £6M but still analipwa £265K kwa wiki na bado hajashaini kama ilivyotarajiwa. Nimeona sehemu Man utd fans(wa England) wanasema jamaa hajawahi kuwa na shot in target tangu January 31st(sijui kama ni kweli, lakini imetoka kwa UTD wenyewe). Hata kama anapangwa mechi chache hii stats ni mbaya kwa striker mwenye jina kubwa kama Falcao. Kifupi amekuwa flop so far. Financial power yenu ni kubwa inajulikana. Nilikuwa napinga alichosema Nzi kuwa mpo katika financial crisis tangu timu inunuliwe na Glazers, kitu kisicho kweli.
 
Hili ndo la maana kwasasa maana EPLtable sasahivi inatishia amani, na tusimpuuzie Everton hizi game zake mbili za mwisho si haba..... Haya MUSSOLIN na wadau wote wa MANU maoni yenu tafadhali kikosi gani kinafaa.......

sijajua kufikia w'end hali ya majeruhi wetu itakuwaje? Ila naamini baadhi yao watarudi
 
Last edited by a moderator:
sijajua kufikia w'end hali ya majeruhi wetu itakuwaje? Ila naamini baadhi yao watarudi

Tuombe wapone haraka .........lakini hata kikos kilichopita si mbaya anaweza anza Di Maria badala ya Falcao....
 
Back
Top Bottom