ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,393
- 118,837
Hii ligi kama hudefend lazima utapigwa tuu, na mie nasema wale ambao hawadefend, unawaambia wadefend wanakaidi, wanajifanya wao ndo wanajua kila kitu wapigwe tuu. Maana tumechoka sasa.
Hamna namna nyingine, wafungwe tu...hahahaha! Nawapa pole mashetani. Ngoja na sie tukapige na nyie wapaki mabasi!!!