Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daaaaa kudadadekiii….. Yaaani nakumiliki kote mpiraaaa wanaumeee tumekalia tatuuu kavuu… yaniiii siamini…..
 
Hali siyo nzuri...😡

Hapo ndo uone ball possession bila malengo ni kupoteza muda! Man u have significantly dominated in terms of ball possession but have less shots on goal! How can you win a match if you are just passing arround the ball without focus on the goal?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Haya wale mnaopinga kudefend mtasemaje tena leo?

Je, mtalalamika tena kama wiki iliyopita au mtauchuna kwa sababu ni Everton?

Man Utd, as usual, had possession of the ball, lakini wamepigwa 3 kavu.

Kama hudefend then kushinda Premier League utasikia kwenye bomba.

Msimu ulioipita Liverpool hawakushinda ligi kwa sababu walikuwa hawadefend.
 
Mapungufu ya Rooney yamekuwa exposed yet again. Karudishwa nafasi 'anayoipenda' halafu hakufutukuta
 
Kuwafunga Liverpool mkajisahau sana na mkajiona nyie kama Barca ya Uingereza

Nawaambia hapa tena wiki ijayo na WBA mna taabu sana!Majogoo tunacheza CL
 
Hapo ndo uone ball possession bila malengo ni kupoteza muda! Man u have significantly dominated in terms of ball possession but have less shots on goal! How can you win a match if you are just passing arround the ball without focus on the goal?

Hii ligi kama hudefend lazima utapigwa tuu, na mie nasema wale ambao hawadefend, unawaambia wadefend wanakaidi, wanajifanya wao ndo wanajua kila kitu wapigwe tuu. Maana tumechoka sasa.
 
Ili ujue Mpira hautabiriki na unadunda,sisi Chelsea tunaoongoza ligi tumewafunga man u kamoja,Leo wanapigwa 3-0 kirahisi na everton

Tena mliwafunga kwa mbinde, ajabu Evaton kawaua kikatili mpra bana una maajab yake!
 
Next game ni muhimu kushinda kupinguza pressure,top four sina wasiwasi wapinzani Loserfool wanapaswa kushinda game zote zilizobaki na kiukweli hawana ubavu huo

Ww inahitaji point 9 kucheza CL na hizo points sioni mnazipata wapi!Arsenal na Palace hizi nina uhakika wa 100% hamtapata matokeo mazuri

CL spot bado ipo wazi kwa Liverpool
 
Kuwafunga Liverpool mkajisahau sana na mkajiona nyie kama Barca ya Uingereza

Nawaambia hapa tena wiki ijayo na WBA mna taabu sana!Majogoo tunacheza CL

CL kwako ndoto ya mchana.
Ili loserfools wacheze CL wanatakiwa kushinda mechi zote 5 walizobakiza huku wakikesha kwenye nyumba za ibaada kuwaombea man u, arsenal na man c wapoteze mechi mbili au tatu.
Hapo ndo pagumu, nyie shindano lenu Carling Cup
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
CL kwako ndoto ya mchana.
Ili loserfools wacheze CL wanatakiwa kushinda mechi zote 5 walizobakiza huku wakikesha kwenye nyumba za ibaada kuwaombea man u, arsenal na man c wapoteze mechi mbili au tatu.
Hapo ndo pagumu, nyie shindano lenu Carling Cup

Ww huwezi mfunga Arsenal wala Palace
 
Haya wale mnaopinga kudefend mtasemaje tena leo?

Je, mtalalamika tena kama wiki iliyopita au mtauchuna kwa sababu ni Everton?

Man Utd, as usual, had possession of the ball, lakini wamepigwa 3 kavu.

Kama hudefend then kushinda Premier League utasikia kwenye bomba.

Msimu ulioipita Liverpool hawakushinda ligi kwa sababu walikuwa hawadefend.

Come on EMT, you are better than this. Everton hawakupaki basi arifu...

Wamecheza fair game...kumiliki mpira kwa asilimia kubwa siyo lazima kutokane na timu pinzani kupaki basi.

Leo school-boy defensive errors zimeicost timu....

Well done to Everton...

#IamRed
 
Come on EMT, you are better than this. Everton hawakupaki basi arifu...

Wamecheza fair game...kumiliki mpira kwa asilimia kubwa siyo lazima kutokane na timu pinzani kupaki basi.

Well, they defended very well ndo maana Utd hawakufunga goli hata moja.

Leo school-boy defensive errors zimeicost timu....

Kumbe tunakubaliana then. School-boy defensive errors, is simply poor defending.
 
Tena mliwafunga kwa mbinde, ajabu Evaton kawaua kikatili mpra bana una maajab yake!

Hatukuwagunga kwa mbinde, tuliwafunga kiufundi maana walikuwa wametukamia sana na hatukuwa na striker wetu tegemeo. Karibu Nzi utushangilie dhidi ya washika gobole!
 
Back
Top Bottom