Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Miralas 3 man u 0
Chelsea ni kibonde,
Man United ni kibonde,
Man City ni kibonde,
Liverpool ni kibonde zaidi
Jamani leo hali kwetu ishakuwa mbovu tukubali tumepoteza
Laiti kama Everton wangekuwa wanakamia mechi zote namna hii tungekuwa tunawaongelea kwenye Big 4.
Hata hivyo Man U ya leo nyanya imedharau mechi ikitegemea ball possession ya 30 kwa 70.
Mpwa kwema hapa?
Nilipokuambia kuwa mechi za kushinda ww zimeisha naanza ku make sense kwako au?
leo kweli imekula kwetu....ila ndiyo mpira....
Hii gemu imekwisha hatuna chetu hapa.....na tukiendelea hivi tutajikuta kama Liverpool now...