Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Poleni wakuu.karibuni muwatizame mabingwa wa msimu huu. Chelsea"the blues"wakimsulubu arsenal.
 
yale maneno ya kusema kuwa timu ya mwanitesa united ipo kwenye morali hatutayasikia tena.
 
Hii mechi haijaniuma sana kwani dalili za kupoteza niliziona toka mwanzo.
 
Now United needs 9/12 points to secure UCL spot...

#IamRed

Next game ni muhimu kushinda kupinguza pressure,top four sina wasiwasi wapinzani Loserfool wanapaswa kushinda game zote zilizobaki na kiukweli hawana ubavu huo
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom