Kowalski
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 348
- 111
Wazee wa possession leo mmepeta possession ngapi?
Kama kawaida yao 😀😀😀😀
Wazee wa possession leo mmepeta possession ngapi?
Yaan leo mme-posses 62% vs38% na goli mkapigwa? Mmeshindwa lakin hongera kwa kuposses watan zetu...kila team na vission zake nyinyi ni kuposses kwa kwenda mbele point majaaliwa
Jamani imetosha leo mmetunanga hadi tumekoma.
Man U hatujazoea shida ati sijui hii misimu miwili vipi...
Yaan leo wanapita tuu hata kutufariji hakuna....
Nimeenda kumwita Ntuzu amesema huku kwetu kuna msiba na yeye kwenye nyumba ya msiba haingii......
Ila kesho watakuja tuu
Acha tu Mimi nawaza tu kesho job naingiaje??? Inabid nitafute miwani ya mbao na nitatupia kajez kangu.....
Acha tu Mimi nawaza tu kesho job naingiaje??? Inabid nitafute miwani ya mbao na nitatupia kajez kangu.....
Aaaah!! Bora hata wangemaliza leo ,kesho wakija tutakuwa kamili na sisi no pain again wakileta za kuleta tunawapa za Uso tu.....
everlenk cute b BelindaJacob RRONDO Nzi Belo kitwala et al et al....POLENI SANAAAAAAAAAAAAA
HAHAHAHAHAHAHAHA..
Ninachoweza kuwahakikishia tu ni kuwa kesho...nitawadediketia lisaa limoja kwa ajili yenu..hasa wewe Nzi mzee wa possession!
Baada ya kusema hayo naombeni kuelekea stamford bridge maana ndo kwanzaaa nawasha data nikitokea le Emirates...byeeeee
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee....
Jamani imetosha leo mmetunanga hadi tumekoma.
Man U hatujazoea shida ati sijui hii misimu miwili vipi...
everlenk cute b BelindaJacob RRONDO Nzi Belo kitwala et al et al....POLENI SANAAAAAAAAAAAAA
HAHAHAHAHAHAHAHA..
Ninachoweza kuwahakikishia tu ni kuwa kesho...nitawadediketia lisaa limoja kwa ajili yenu..hasa wewe Nzi mzee wa possession!
Baada ya kusema hayo naombeni kuelekea stamford bridge maana ndo kwanzaaa nawasha data nikitokea le Emirates...byeeeee
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee....
everlenk cute b BelindaJacob RRONDO Nzi Belo kitwala et al et al....POLENI SANAAAAAAAAAAAAA
HAHAHAHAHAHAHAHA..
Ninachoweza kuwahakikishia tu ni kuwa kesho...nitawadediketia lisaa limoja kwa ajili yenu..hasa wewe Nzi mzee wa possession!
Baada ya kusema hayo naombeni kuelekea stamford bridge maana ndo kwanzaaa nawasha data nikitokea le Emirates...byeeeee
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee....
Asante besti..kipigo kimeniuma sana, ukichanganya na flu kali iliyonikamata basi siku imeharibika vibaya mno. Duh!!
Mh! Aisee Carrick ni wa muhimu sana..akiwepo pale CM, mambo yanakuwa yametulia sana..
Hii game sioni United itatokaje hapa 