privacy
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 1,446
- 1,282
"Winga machachari wa klabu ya PSV Eindhoven, Memphis Depay amewasili jijini Manchester kwa ajili ya kuanza mazungumzo na klabu ya Manchester United. Depay ametua jijini Manchester Mara baada ya kutwaa tuzo ya mfungaji bora wa ligi ya Uholanzi.
Depay anategemewa kusainiwa kwa ada ya £25Mil.
© http://metro.co.uk/2015/04/23/memph...-ahead-of-manchester-united-transfer-5164555/