everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Sidhani kama LVG anamkubali CH14, na Madrid wanaonyesha kuwa hawatamsajili, na media leo zime report kuna uwezekano akarudi EPL ila sio Man Utd
Dah!! Isiwe hivyo wafanye arudi The United tu.
Sidhani kama LVG anamkubali CH14, na Madrid wanaonyesha kuwa hawatamsajili, na media leo zime report kuna uwezekano akarudi EPL ila sio Man Utd
Dah!! Isiwe hivyo wafanye arudi The United tu.
Prof, sikumbuki kusema timu itabeba kombe ni msimu huu(nadhani Desember au January) kasema kuwa within 3 seasons tutalibeba. Wapenzi wa Liverpool ndiyo wanasema msimu ujao ni wao miaka 20 na kitu sasa.
Mm nacheza CL mwakani
Red Star Belgrade watacheza nayo ama Man U au Man City nafasi ya 5 huko
Kusema ukweli wewe unafaa sana jeshini na hospitalini, unaweza sana kupandisha morali ya watu walioshakata tamaa
Eti Liver watacheza CL hahahahahaha
Hata nyie sasa mnajua kabisa kwa mziki wa Chelsea Man Utd Arsenal Man City ..... Liver... CL watasubili sana kucheza CL
Utaanza badili maneno yako week hii
Man U ana games na Everton na Palace ugenini
Man City yupo ns Spurs na Soton
Majogoo tunscheza CL
Tom Cleverly kurudi msimu ujao hiyo asahau....CH14 anaweza kuwa msaada kwa LVG hasa ukiangalia possibility yakucheza mashindano mengi msimu ujao. Kiasi ambacho Lvg anahitaji kuwa na Depth kubqa ya kikosiDalili za CH14 kurudi Utd ni chache sawa na Tom Claverley kurudi Utd baada ya loan yake kuisha huko Villa
Philosophy ya LVG inaonekana haiwakubali na kuendana na uchezaji wao.
NB: haya ni maoni yangu kutokana na ninavyoona LVG anavyowachukulia wachezaji hao
Umesahau ulikuwa unatamba kuwa Utd hawawezi hata kupata draw na Spurs, kuwa Utd wanajua kuwa Majogoo lazima yashinde Anfield.... nikumbushe ikawaje matokeo?
Sasa umeanza kutuambia mechi za ugenini tunazocheza.... hivi unajua tarehe 10 mwezi ujao mnacheza wapi na nani? hahahhaha
Chelsea hawezi nifunga,uwezo wa Chelsea umepungua sana na Man U alinifunga sababu ya SG
Kumfunga kibonde Man City kuliwadanganya sana
Na Arsenal alikufunga kwa sababu gan? Walikuzidi uwezo ?
Leo hii Man city kawa kibonde duuuuh.......Chelsea hawezi nifunga,uwezo wa Chelsea umepungua sana na Man U alinifunga sababu ya SG
Kumfunga kibonde Man City kuliwadanganya sana
Leo hii Man city kawa kibonde duuuuh.......
Lakini ndio nyie nyie mlikuwa mnasema hatutoki hata mechi. Moja katika hiziYaap ni kibonde
Hata Liverpool ile ya Baloteli iliwafunga
Lakini ndio nyie nyie mlikuwa mnasema hatutoki hata mechi. Moja katika hizi
Spurs (win )
Liverpool (win )
Aston villa (win )
Man city (win )
Chelsea (lose )
Ku win kwenu kumeisha
Mnarudi sasa kwenye nafasi yenu ya mwaka jana
Lol..... urudie maneno yako haya baada yakuwa tumeshacheza mechi tano zijazo......Ku win kwenu kumeisha
Mnarudi sasa kwenye nafasi yenu ya mwaka jana
SG aliwafungisha mechi zote mbili?Chelsea hawezi nifunga,uwezo wa Chelsea umepungua sana na Man U alinifunga sababu ya SG
Kumfunga kibonde Man City kuliwadanganya sana