Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ningefurahi zaid wakaweka na Nyeupe iwe kwenye list ya jezi official za msimu ujao.

Binafsi napenda jezi nyeupe hata kanisani unaivaa tu 🏃🏃🏃🏃
uploadfromtaptalk1429964936620.jpg
 
Memphis Depay Flew to England on Friday but it was to talk to Liverpool, not Mancherster united
According to the Daily Mirror, Depay who did land at Mancherster Airport as initially reported, was quickly whisked off to a hotel nearby where he spoke with Anfield managing director Ian Ayre among other club officiall
Accompanied by his advisors, Keen Vos and Kees Ploegsma, the 21 years old had been given permission by PSV

He is sooo good..!!
Hope things will turn out well
http://youtu.be/bBi6RTJqO_w
 
Safiii,safi sana itabidi kabatini wakufanyie mpangilio mzuri maana naona kabisa makombe mengine yakiingizana kwa fujo msimu ujao.......

Kabati kuongeza sio ishu hata mimi ntawasaidia kuliongeza
 
Sawa cute b lkn mmeshindwa kumwaga damu ktk huo mlango.
Ntuzu sio kwamba tulishindwa unajua wewe ndo hukutuelewa.. wakati tunataka tumchinje mapolice walikuja wakatukamata kwa mauaji tulioyafanya huko nyuma....ila leo tumetoka na tupo tayari kuendeleza mashambulizi na Chelsea tutawaludia tuu.....
 
Last edited by a moderator:
Sawa cute b lkn mmeshindwa kumwaga damu ktk huo mlango.

Kwan bac linadamu? Tungekuta wa2 tungechinja2, xaxa baada ya kuona bac tukaamua tuwapotezee2, xema Kwa kuwa mnaleta jeuri tukirud mcmu ujao tukikita wa2 tunanyonya damu, tukikuta bac tunalipua
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu sio kwamba tulishindwa unajua wewe ndo hukutuelewa.. wakati tunataka tumchinje mapolice walikuja wakatukamata kwa mauaji tulioyafanya huko nyuma....ila leo tumetoka na tupo tayari kuendeleza mashambulizi na Chelsea tutawaludia tuu.....


Hahaha aya cute b
 
Last edited by a moderator:
Kwan bac linadamu? Tungekuta wa2 tungechinja2, xaxa baada ya kuona bac tukaamua tuwapotezee2, xema Kwa kuwa mnaleta jeuri tukirud mcmu ujao tukikita wa2 tunanyonya damu, tukikuta bac tunalipua

Kwani jini linaweza kuingia kwenye banda la kitimoto?
 
Kuna kila dalili za De Gea kuondoka Man Utd,either msimu huu au mwakan tunamuachia bure.
 
Everton starting eleven

24 Howard
23 Coleman
26 Stones
6 Jagielka
3 Baines
16 McCarthy
18 Barry
25 Lennon
20 Barkley
21 Osman
10 Lukaku


Man Utd starting eleven
1 de Gea
25 A Valencia
12 Smalling
33 McNair
3 Shaw
17 Blind
8 Mata
21 Herrera
31 Fellaini
18 Young
10 Rooney

*****

Everton Substitutes
1 Robles
9 Koné
11 Mirallas
14 Naismith
17 Besic
29 Garbutt
30 Alcaraz


Man Utd Substitutes
7 Di María
9 Falcao
11 Januzaj
20 van Persie
32 Valdés
42 Blackett
44 Pereira


Referee
Andre Marriner
 
Back
Top Bottom