Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Kama umegundua matambo yangu nayafanya muda wa kazi (sijivunii hili) au niwapo kwangu nimechomeka simu kwenye charger..mara nyingi nikiwa naangalia mpira simu yangu huwa naizima kabisa...hizi smartphone ni shida sana kwa kweli!
Kwendreee...huna lolote arifu...shabiki andazi wewe..