Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hakuna timu ya england itakayokuja emirates afu ikae na mpira...wote wanaokuja emirates huwa wanaishambulia arsenal kwa counter


Subiri j2 uje uone...umesaha msimu uliopita ktk FA tulikuja hapo tukakuchapa mbili bila na mpira mlikua mnautafuta kwa kibatari.....mnasahau eehe? Ngoja tuje.
 
Kuna mtu huyo anaitwa Mentor anavyojiachia sasa hivi!

Naona kisingizio cha simu yangu haina chaji sasa hakipo.

Chifu, uwe unafanya hivi siku zote. Siyo matokeo yakiwa mabaya mnamsusia Ntuzu jukwaa.

Huo ndiyo ushabiki maandazi; unakuwepo na kuchafua hali ya hewa mambo yakiwa mazuri. Halafu unakimbia mambo yakiwa hovyo!
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu huyo anaitwa Mentor anavyojiachia sasa hivi!

Naona kisingizio cha simu yangu haina chaji sasa hakipo.

Chifu, uwe unafanya hivi siku zote. Siyo matokeo yakiwa mabaya mnamsusia Ntuzu jukwaa.

Huo ndiyo ushabiki maandazi; unakuwepo na kuchafua hali ya hewa mambo yakiwa mazuri. Halafu unakimbia mambo yakiwa hovyo!

Kama umegundua matambo yangu nayafanya muda wa kazi (sijivunii hili) au niwapo kwangu nimechomeka simu kwenye charger..mara nyingi nikiwa naangalia mpira simu yangu huwa naizima kabisa...hizi smartphone ni shida sana kwa kweli!
 
DF22220CF1D745EBACC8041746D29C09.ashx

[h=1]SMALLING SIGNS NEW UNITED CONTRACT[/h]
Chris Smalling has signed a new contract at Manchester United which keeps him at the club until at least June 2019.
The England international, 25, has won two Premier League medals with United, made 147 appearances, and scored nine goals since his debut against Chelsea in the Community Shield in August 2010.
Louis van Gaal said: "Chris has improved and developed immensely during the short time that I have been at the club and has become an integral part of the first-team squad.
"He always conducts himself in a very professional manner and it is also pleasing that he has scored some important goals this season too. I am delighted he has signed a new contract."
Chris Smalling said: "I'm delighted to sign my new contract. I am so proud to play for such a great club. We have developed as a team over the course of the season under Louis van Gaal and we are now playing as a complete unit.
"This is a very exciting time to be at Manchester United, we are all determined to get back to where we belong and competing at the highest level."
 
Hahahaha nafikiri ulivua cute b guess nini nililikiona hahaha raha aise Chelsea mambo mengine haituangushi

hahahahahaaaaaa usinikumbushe iyo siku ...sikuvua wala nini afu sasa nilikuwa nimetupia T-shirt ya man u, pens ya man u, saa ya man u na ribon ya kichwan yaan
Nilivyoona ni dkk ya tisin na moja...nishafika nyumbani kitambo yani maana daaahhh.....ila naipenda sana man u....
Afu sasa kesho yake nika vaa na T-shirts. Ya man u maisha yakaendelea
 
hahahahahaaaaaa usinikumbushe iyo siku ...sikuvua wala nini afu sasa nilikuwa nimetupia T-shirt ya man u, pens ya man u, saa ya man u na ribon ya kichwan yaan
Nilivyoona ni dkk ya tisin na moja...nishafika nyumbani kitambo yani maana daaahhh.....ila naipenda sana man u....
Afu sasa kesho yake nika vaa na T-shirts. Ya man u maisha yakaendelea

hebu njoo nikupe zawadi....unajitambua sana wewe mtoto mzuri!
 
hebu njoo nikupe zawadi....unajitambua sana wewe mtoto mzuri!

Kweli nipe tuu zawadi maana ile siku ilikuwa ngumu sana kwangu.....maana mtu akikupigia simu ni anakusema oooohh polee akikutumia picha ni za ajabu ajabu kila kona man u.
Ila nilisimama imara kuitetea MAN U japo tulifungwa ila kesho yake nikaendelea kuitangaza....
 
Hahahahah.. haya nawaacha huku nilimfata tu dada yenu everlenk sijamuona ghetto kwetu...

Wenzio Asenane.. wana kitete, na hatuwaachi.. tunataka pt3
Eli79
b5-click umejiandaa na ban ya mwezi mzima kijana?
Mimi sina mengi ujuwe, nimeona "team mouthrinho" mnaongea sana, imebidi nikae kimya, lakini kumbuka tu neno moja kuwa utakosa uhondo wa jf kwa mwezi mzima...we haya tu!!!!
 
Last edited by a moderator:
b5-click umejiandaa na ban ya mwezi mzima kijana?
Mimi sina mengi ujuwe, nimeona "team mouthrinho" mnaongea sana, imebidi nikae kimya, lakini kumbuka tu neno moja kuwa utakosa uhondo wa jf kwa mwezi mzima...we haya tu!!!!

Hahahahah... kamanda ngoja tuwafunze kazi.. ban unapigwa wewe.. ngongoti wenu hati hati.
 
Last edited by a moderator:
hahahahahaaaaaa usinikumbushe iyo siku ...sikuvua wala nini afu sasa nilikuwa nimetupia T-shirt ya man u, pens ya man u, saa ya man u na ribon ya kichwan yaan
Nilivyoona ni dkk ya tisin na moja...nishafika nyumbani kitambo yani maana daaahhh.....ila naipenda sana man u....
Afu sasa kesho yake nika vaa na T-shirts. Ya man u maisha yakaendelea

Hahahaha unaipenda sana mwanitesa united next game natamani iwe vilevile
 
Back
Top Bottom