Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,449
- 9,739
Tuombe wapone haraka .........lakini hata kikos kilichopita si mbaya anaweza anza Di Maria badala ya Falcao....
Yap..Di maria aje kwenye midfield afu Wazza asogee kwenye idara ya ushambuliaji.
Tuombe wapone haraka .........lakini hata kikos kilichopita si mbaya anaweza anza Di Maria badala ya Falcao....
Yap..Di maria aje kwenye midfield afu Wazza asogee kwenye idara ya ushambuliaji.
4-2-3-1Yap..Di maria aje kwenye midfield afu Wazza asogee kwenye idara ya ushambuliaji.
Ngoja tu-focus kwenye game ijayo dhidi ya Everton pale Goodison Park!
Kweli kabisa patakaa vyema.Kwenye mechi ya Chelsea kale katoto McNair kalinifurahisha sana sioni wadau mkikaongelea kabisa au nina macho ya makengeza!! ......
4-2-3-1
Backline iwe iliyocheza mechi ya Chelsea. Hao mido wawili wacheze Herrera na Fellain. Wing ya kulia Di maria wing ya kushoto Young nyuma ya straiker Acheze Mata Straiker mwenyewe Captain Rooney
Hapana hauna macho ya makengeza hata kidogo, hyo dogo Ni mkali mpka kero Na Nina uhakika msimu ujao atakuwa beki yetu bora zaid Kwa ajili ya fa Na capital, Na back up nzur Kwa hawa wengine wakizingua, kiasili dogo Ni midfield yan namba 6, ila aliponunuliwa man u ya watto Na kukuta lundo la mamidifield kina Pearson ndio wakambadilisha namba
Hapana hauna macho ya makengeza hata kidogo, hyo dogo Ni mkali mpka kero Na Nina uhakika msimu ujao atakuwa beki yetu bora zaid Kwa ajili ya fa Na capital, Na back up nzur Kwa hawa wengine wakizingua, kiasili dogo Ni midfield yan namba 6, ila aliponunuliwa man u ya watto Na kukuta lundo la mamidifield kina Pearson ndio wakambadilisha namba
Siyo De Gea tu hata mimi ile kiki nilishangiliajeee kuikuta hola dah! Nikawa mdogo kama piriton kile kitu kingewin ingekuwa story kama ile ya Mata.....
Na lile lingekuwa goli nahisi mngelia sana juzi...shukuruni kwa kale kamoja!
Kutufunga mengi ingekuwa bahati sana nyie mlikuja na plan ya draw au kamoko kama kale kisha kulinda sana tusifunge..... Kabla ya mechi nilikuwa nahofia huenda tungepigwa nyingi hasa baada ya Carrick kukosekana nilikuwa najikaza kikike kama siyo kiume kurusha tambo kule kwenu halafu na nyie mkalainika wee utafikir nini ndo maana najua mnanisumbua sana sasahivi..... Lol
Hahahaha!! Wewe utanifanya ninunulike kwa mkopo Arsenal wakishinda mbona kigodoro chako hiki kitakuwa cha mtoto!!! Nitaweka kambi kule kwenu mwezi mzima hata kama mnachukua ndoo, mbona mtanichukia ombeeni yasitokee....
Hahahaha!! Wewe utanifanya ninunulike kwa mkopo Arsenal wakishinda mbona kigodoro chako hiki kitakuwa cha mtoto!!! Nitaweka kambi kule kwenu mwezi mzima hata kama mnachukua ndoo, mbona mtanichukia ombeeni yasitokee....
Hayatokea na kamwe hayatatokea.....labda baba yangu Mourinho aondoke darajani...lkn km yupo ManU, Arsenal, LFC na City ni vichapo tu kwenda mbele.....nakununulia jezi ya Chelsea nikupe ili uwe shabiki wetu....Nina sababu mingi mingi za kufanya hivi lol.