Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Danny Wellbeck "New Thierry Henry "

On your dreams .... ...

Natumaini uliona Olivier Giroud baada ya kuingia alivyokuwa anamiliki mpira, Webeck is good kama winger sio central striker hana mbinu za kumiliki mpira ukija kwake yeye anataka zaidi kutanguliziwa, sasa siku hizi mabeki ni wajanja sana. OG can control and bring other players into play. njoo J2 uone kama Carhill chijui coholl anaweza kumzuia .... .... ...
another English player hyped by British media.
 
Unajua kwanini? Kwa sababu ya anti-football tactics za Mourinho! Wapenzi wa mpira wanapenda kuona timu bora zikicheza mpira wa kuvutia. Wanapenda wakienda uwanjani wapate burudani na wapate makombe. Hicho ndicho wapenzi wa Man United walikifaidi chini ya SAF. Na wamekuwa wakikifaidi katika kipindi cha miezi karibu mitatu sasa chini ya LvG.

Ila kwa timu design ya Chelsea, najua mashabiki wana shauku ya kupata makombe ili kujaribu kukaribia timu ambazo zimetawala soka la Uingereza kwa takribani miaka 40 sasa. Hivyo kwenu kucheza bila kutoa burudani kunaweza kukawa siyo jambo la ajabu. Si unakumbuka jinsi media ya UK ilivyokuwa ikimponda LvG pale United ilipokuwa ikishinda kwa mazabe (mfano games dhidi ya Soton na Arsenal)?

Washabiki wa Arsenal uwa wananishanganza! Wao wanafurahiaga burudani tu bila kujali kama wanashinda au lah! Ingawa siku hizi wengi wao wamechoka na wanaanza kulalamika.





Chifu, kama nilivyosema hapo juu, washabiki wanalipa pesa nyingi kuingia uwanjani ama kuangalia kwenye luninga mpira ili wapate burudani na kushinda makombe. Ni washabiki wachache sana watakaofurahi siku zote aidha kushinda makombe bila kutoa burudani au kutoa burudani bila kushinda makombe.

Chelsea mwaka huu mtashinda EPL. Lakini ni dhahiri mkifanya staili hii hii tena na mwakani, lazima the Boss aanze kulalamika na pengine mpiga domo akakumbwa na fagio tena!

Usitudanganye Mkuu nan asiyejua raha ya mechi n bao, Aisha eeeeeeee eeeeeee raha ya mechi baooooooo
 

On your dreams .... ...

Natumaini uliona Olivier Giroud baada ya kuingia alivyokuwa anamiliki mpira, Webeck is good kama winger sio central striker hana mbinu za kumiliki mpira ukija kwake yeye anataka zaidi kutanguliziwa, sasa siku hizi mabeki ni wajanja sana. OG can control and bring other players into play. njoo J2 uone kama Carhill chijui coholl anaweza kumzuia .... .... ...
another English player hyped by British media.

Ha ha ha ha og na cahil? He he he he
 
Nzi unahitaji therapeutic intervention ku-combat anger uliyokuwa nayo baada ya kufungwa jana otherwise tutasikia Mtanzania kajiunga na Waganda na Wakenya kujiua baada ya Manchester United kufungwa. Unalalama kuwa Chelsea hawajacheza mpira wa burudani kitu kilicho kweli, dunia yote inajua staili ya Mourinho, anti-football.Then hapo hapo unapiga madongo Arsenal kwa kupenda kucheza mpira wa Burudani bila kubeba kombe. Vipi umesahau tulikuwa katika financial crisis iliyosababisha kwa upande mkubwa kushindwa ku-keep mastar wetu pia ku-attract mastar? Na bado tulikuwa katika competition ya kubeba makombe, but tuli-come short in several occasions (overall). Mwenyewe umeona jinsi mlivyoshindwa kuattract mastar baada ya kushindwa kuingia UCL msimu huu na mkalazimika kutumia bajeti ya Tanzania kununua na kukopa wachezaji ambao wengi wao hawajaonyesha jipya lolote. Pamoja na kutumia pesa zote hizo mnaelekea kuondoka mikono mitupu. Cha ajabu bado una guts za kusimanga ARSENAL. Unasifia burudani yenu na kupiga madongo burudani yetu. Burudani yetu imetufikisha two FA CUP FINAL back to back brother! (Hulk Hogan voice). God wishes tutalibeba kombe mara ya pili. Elekeza hasira kwa rentBoys wanaobeba kombe bila ya kucheza attractive football, though United na wao walishabeba hili kombe mara kadhaa bila ya kucheza vizuri msimu mzima. Sometimes football works like that.

Alaa kumbe nina hasira!

Since when are you a psychologist or something bruv?

Sasa leo unasema financial crisis ndiyo iliyowafanya mshindwe kubeba makombe ama? United imekuwa katika financial crisis toka dem Yankees walipochukua timu, the rest is history.

Hao wachezaji tulionunua na kukopa hawajaonyesha kitu?! Unageneralise hivyo kiaje arifu? Ukitoa Falcao (ambaye ana assists 4 na goli nne, kama New Titi wenu 😂&#128514😉, wengine wote wamecheza vizuri sana kwa msimu wao wa kwanza EPL. Di Maria (licha ya shida za hivi karibuni) ana assists nyingi kuliko hata Nemo aliye msimu wa pili EPL. Herrera, hakuna mchezaji wa Goons kwa namba yake anayeweza kumlinganisha naye. Blind, one of the most versatile players katika EPL. Hata dogo Shaw, licha ya majeruhi kakipiga vizuri tu.

United is on the move chief....this year's target is to get a spot back to UCL. So far, everything is on track...Labda uonyeshe targets za United katika kujustify your baloney kuwa United inamaliza mikono mitupu. Yes, haitochukua kombe lolote, lakini kwa a transiting team, so far so good. United wants to get back into the limelight of footie.

Mbona unajikanganya mazee, unasema tumeshindwa kuattract mastar baada ya kushindwa kwenda UCL, halafu unasema tumetumia bajeti ya TZ kununua mastar. Sasa hapo huoni kama fedha ndiyo inayoongea siku hizi kwenye soka?!? Mbona goons miaka yote mnaenda UCL mlishindwa kuattract hao mastar kama kigezo kikuu ni kwenda UCL?!? Si umeona jinsi pesa zilivyowatoka kwa Nemo na Sanchez? Kwa hiyo hao wangekuja tu kwa vile Goons wanaenda UCL? Kwani R. Madrid na Barcelona zilikuwa hazipo UCL mpaka wawe 'attracted' na Goons walio UCL?!? Mbona hao mastars walishindwa kwenda Loserfools kama UCL ndicho kigezo?!?

Dude, you are talking like a gramps!
 
Just matter of time atabeba EPL medal akiwa na Arsenal. Hivi umesahau ni RVP pekee mwenye FA CUP medal katika timu yenu thanks to Arsenal 2005. Welbeck yupo mbioni kubeba FA CUP medal mwezi ujao. Bookmark this.

RVP,Nasri,Cesc,Sagna walisubiri hiyo matter of time mpaka wakachoka
 
Alaa kumbe nina hasira!

Since when are you a psychologist or something bruv?

Sasa leo unasema financial crisis ndiyo iliyowafanya mshindwe kubeba makombe ama? United imekuwa katika financial crisis toka dem Yankees walipochukua timu, the rest is history.

Hao wachezaji tulionunua na kukopa hawajaonyesha kitu?! Unageneralise hivyo kiaje arifu? Ukitoa Falcao (ambaye ana assists 4 na goli nne, kama New Titi wenu 😂&#128514😉, wengine wote wamecheza vizuri sana kwa msimu wao wa kwanza EPL. Di Maria (licha ya shida za hivi karibuni) ana assists nyingi kuliko hata Nemo aliye msimu wa pili EPL. Herrera, hakuna mchezaji wa Goons kwa namba yake anayeweza kumlinganisha naye. Blind, one of the most versatile players katika EPL. Hata dogo Shaw, licha ya majeruhi kakipiga vizuri tu.

United is on the move chief....this year's target is to get a spot back to UCL. So far, everything is on track...Labda uonyeshe targets za United katika kujustify your baloney kuwa United inamaliza mikono mitupu. Yes, haitochukua kombe lolote, lakini kwa a transiting team, so far so good. United wants to get back into the limelight of footie.

Mbona unajikanganya mazee, unasema tumeshindwa kuattract mastar baada ya kushindwa kwenda UCL, halafu unasema tumetumia bajeti ya TZ kununua mastar. Sasa hapo huoni kama fedha ndiyo inayoongea siku hizi kwenye soka?!? Mbona goons miaka yote mnaenda UCL mlishindwa kuattract hao mastar kama kigezo kikuu ni kwenda UCL?!? Si umeona jinsi pesa zilivyowatoka kwa Nemo na Sanchez? Kwa hiyo hao wangekuja tu kwa vile Goons wanaenda UCL? Mbona hao mastars walishindwa kwenda Loserfools kama UCL ndicho kigezo?!?

Dude, you are talking like a gramps!


Mmmh. Kazi ipo
 
RVP,Nasri,Cesc,Sagna walisubiri hiyo matter of time mpaka wakachoka

Cesc alikuwa katika payroll ya Invincible alicheza mechi chache as sub msimu ule. Angecheza mechi 10 angepata medal nevertheless alibeba trophy. Hao wengine tamaa tupu. BTW miaka mingapi tangu mmbebe FA CUP? Rooney juzi juzi alikuwa na uhakika wa kubeba ndoo ya FA Cup kwa mara ya kwanza hadi Welbeck alipoiotesha mbawa ndoto. Kila kitu kina muda wake, tuombe uhai tu.
 
Alaa kumbe nina hasira!

Since when are you a psychologist or something bruv?

Sasa leo unasema financial crisis ndiyo iliyowafanya mshindwe kubeba makombe ama? United imekuwa katika financial crisis toka dem Yankees walipochukua timu, the rest is history.

Hao wachezaji tulionunua na kukopa hawajaonyesha kitu?! Unageneralise hivyo kiaje arifu? Ukitoa Falcao (ambaye ana assists 4 na goli nne, kama New Titi wenu &#62978😉, wengine wote wamecheza vizuri sana kwa msimu wao wa kwanza EPL. Di Maria (licha ya shida za hivi karibuni) ana assists nyingi kuliko hata Nemo aliye msimu wa pili EPL. Herrera, hakuna mchezaji wa Goons kwa namba yake anayeweza kumlinganisha naye. Blind, one of the most versatile players katika EPL. Hata dogo Shaw, licha ya majeruhi kakipiga vizuri tu.

United is on the move chief....this year's target is to get a spot back to UCL. So far, everything is on track...Labda uonyeshe targets za United katika kujustify your baloney kuwa United inamaliza mikono mitupu. Yes, haitochukua kombe lolote, lakini kwa a transiting team, so far so good. United wants to get back into the limelight of footie.

Mbona unajikanganya mazee, unasema tumeshindwa kuattract mastar baada ya kushindwa kwenda UCL, halafu unasema tumetumia bajeti ya TZ kununua mastar. Sasa hapo huoni kama fedha ndiyo inayoongea siku hizi kwenye soka?!? Mbona goons miaka yote mnaenda UCL mlishindwa kuattract hao mastar kama kigezo kikuu ni kwenda UCL?!? Si umeona jinsi pesa zilivyowatoka kwa Nemo na Sanchez? Kwa hiyo hao wangekuja tu kwa vile Goons wanaenda UCL? Kwani R. Madrid na Barcelona zilikuwa hazipo UCL mpaka wawe 'attracted' na Goons walio UCL?!? Mbona hao mastars walishindwa kwenda Loserfools kama UCL ndicho kigezo?!?

Dude, you are talking like a gramps!

Mkuu sorry sana. Nilikuwa sijui kwamba mchezaji( Di Maria) expensive katika ligi kuwa na 4 goals, assists 10 na kusota benchi ni bonge la achievement, Cazorla ana assists 8, magoli 8 na alinunuliwa kwa kiasi kidogo kulinganisha na ADM. Vile vile mchezaji aliyekopwa £20M kwa madai ni big time goal scorer na kulipwa £265K weekly kuzalisha magoli manne tu ni sawa na mchezaji aliyenunuliwa kwa £16M na kufunga magoli 8, 3 assists na analipwa chini ya £100K weekly. Kati ya hao wote ni Herrera na Blind tu ndio pekee wanaocheza vizuri kulinganisha na pesa waliyolipiwa wengine wote hovyo kwa mwaka huu(tusubiri next season). Hivi ni kwa nini "first season" excuse ipo sahihi kutumika kwenu tu, mwaka jana mlikuwa mnapiga domo juu ya Ozil kuwa ni Flop wakati performance yake mwanzoni ilikuwa juu then akapatwa na injuries kama 3 back to back na still aliporudi akawa ana contribute kama kawa. Hao kina Falcao na ADM hawajapata injuries kama alizopata Ozil yet wanasoteshwa benchi na kina Fellaini na Young. Oooh yeah, how much mlilipa kumpata Shaw ? hata kama ni majeruhi kupata benchi ni ndoto kama Blind/Rojo wakiwa fit. Expensive English defender anasugua benchi hahahaha. You got robbed TWICE on the highway in one transfer. Eti mna financial Crisis tangu the Glazers wachukuwe timu, hahahaha danganya wengine. Hamjakuwa na hampo katika Crisis yoyote. Tangu wanunue timu (mwaka 2005)angalia ni expensive players wangapi mmeweza kuwanunua na kuwalipa mishahara minono then fananisha na Arsenal walivyoshindwa ku-keep wachezaji (kuanzia kina Vieira/A. Cole hadi RVP) vile vile kusajili wachezaji wazuri badala ya magarasa (mfano kina Adebabayor Chamakh, Denilson, Eboue etc) sababu hawakuweza kuwalipa mishahara sababu ya Emirates. Ukisema United wamekuwa katika financia Crisis tangu inunuliwe ni kuaibisha timu yako mkuu.
 
Mkuu sorry sana. Nilikuwa sijui kwamba mchezaji( Di Maria) expensive katika ligi kuwa na 4 goals, assists 10 na kusota benchi ni bonge la achievement, Cazorla ana assists 8, magoli 8 na alinunuliwa kwa kiasi kidogo kulinganisha na ADM. Vile vile mchezaji aliyekopwa £20M kwa madai ni big time goal scorer na kulipwa £265K weekly kuzalisha magoli manne tu ni sawa na mchezaji aliyenunuliwa kwa £16M na kufunga magoli 8, 3 assists na analipwa chini ya £100K weekly. Kati ya hao wote ni Herrera na Blind tu ndio pekee wanaocheza vizuri kulinganisha na pesa waliyolipiwa wengine wote hovyo kwa mwaka huu(tusubiri next season). Hivi ni kwa nini "first season" excuse ipo sahihi kutumika kwenu tu, mwaka jana mlikuwa mnapiga domo juu ya Ozil kuwa ni Flop wakati performance yake mwanzoni ilikuwa juu then akapatwa na injuries kama 3 back to back na still aliporudi akawa ana contribute kama kawa. Hao kina Falcao na ADM hawajapata injuries kama alizopata Ozil yet wanasoteshwa benchi na kina Fellaini na Young. Oooh yeah, how much mlilipa kumpata Shaw ? hata kama ni majeruhi kupata benchi ni ndoto kama Blind/Rojo wakiwa fit. Expensive English defender anasugua benchi hahahaha. You got robbed TWICE on the highway in one transfer. Eti mna financial Crisis tangu the Glazers wachukuwe timu, hahahaha danganya wengine. Hamjakuwa na hampo katika Crisis yoyote. Tangu wanunue timu (mwaka 2005)angalia ni expensive players wangapi mmeweza kuwanunua na kuwalipa mishahara minono then fananisha na Arsenal walivyoshindwa ku-keep wachezaji (kuanzia kina Vieira/A. Cole hadi RVP) vile vile kusajili wachezaji wazuri badala ya magarasa (mfano kina Adebabayor Chamakh, Denilson, Eboue etc) sababu hawakuweza kuwalipa mishahara sababu ya Emirates. Ukisema United wamekuwa katika financia Crisis tangu inunuliwe ni kuaibisha timu yako mkuu.

Masahihisho,
Falcao amechukuliwa kwa mkopo wa £ 6 m sio 20,LVG alikuwa smart sana kwenye usajili huu kama angesajiliwa permanent usajili wake ungefika £ m 50 kwa hiki kiwango kweli tungekuwa tumepata hasara

Di Maria ni flop kama unavyosema but ana assists 10 na amecheza game chache ukilinganisha na Cesc anayeongoza

Luke Shaw kama ulimuona game na Chelsea nafikiri unaweza ukatoa assessment vizuri,dogo atakuwepo United kwa zaidi ya miaka 10 kama Rio hiyo hela aliyonunuliwa itaonekana ndogo sana.Blind amesajiliwa kama kiungo sio full back but ni versatile player anacheza popote kumbuka Carrick umri umekwenda

Mwisho usitake kufananisha financial power ya Arsenal na Man United,tuna ubavu wa kuja kuchukua mchezaji hapo kwenu but hamna ubavu kuja kuchukua kwetu,now mna hela still mmesajili kina Chambers,Wellbeck
 
Unajua kwanini? Kwa sababu ya anti-football tactics za Mourinho! Wapenzi wa mpira wanapenda kuona timu bora zikicheza mpira wa kuvutia. Wanapenda wakienda uwanjani wapate burudani na wapate makombe. Hicho ndicho wapenzi wa Man United walikifaidi chini ya SAF. Na wamekuwa wakikifaidi katika kipindi cha miezi karibu mitatu sasa chini ya LvG.

Ila kwa timu design ya Chelsea, najua mashabiki wana shauku ya kupata makombe ili kujaribu kukaribia timu ambazo zimetawala soka la Uingereza kwa takribani miaka 40 sasa. Hivyo kwenu kucheza bila kutoa burudani kunaweza kukawa siyo jambo la ajabu. Si unakumbuka jinsi media ya UK ilivyokuwa ikimponda LvG pale United ilipokuwa ikishinda kwa mazabe (mfano games dhidi ya Soton na Arsenal)?

Washabiki wa Arsenal uwa wananishanganza! Wao wanafurahiaga burudani tu bila kujali kama wanashinda au lah! Ingawa siku hizi wengi wao wamechoka na wanaanza kulalamika.





Chifu, kama nilivyosema hapo juu, washabiki wanalipa pesa nyingi kuingia uwanjani ama kuangalia kwenye luninga mpira ili wapate burudani na kushinda makombe. Ni washabiki wachache sana watakaofurahi siku zote aidha kushinda makombe bila kutoa burudani au kutoa burudani bila kushinda makombe.

Chelsea mwaka huu mtashinda EPL. Lakini ni dhahiri mkifanya staili hii hii tena na mwakani, lazima the Boss aanze kulalamika na pengine mpiga domo akakumbwa na fagio tena!

Nzi we amini unavo amini na Mimi niache ninavo amini.

Ata Mikey Tyson alivokua anawadondosha wenzake ktk raundi ya 2 au ya tatu watu hawakupenda wakaanza kulalama na kumtafutia mbinu nyingi za kummaliza. Kwahiyo Chelsea kukomaa kileleni sn kwa muda mrefu watu hawapendi

Ata Floyd Mayweather anavojirinda vizuri asipingwe na bondia pinzani hawezi kua Anti-boxer....sasa kwanini José Mourinho awe anti-football eti kwasababu katumia mbinu ya kujilinda asifungwe? Hivi vichekesho aiseee.

Alafu Nzi hii style tumeifanya kwako tu msimu huu...usifikiri msimu ujao kwamba kikosi hakitasukwa kwa kuongeza wachezaji....na pia Abramovic hawezi tena kumfukuza José pale Chelsea km alivofanya pale awali... Na ufahamu kua kipindi hili Mou habuguziwi na tajiri wala kuingiliwa ktk kz zake

Kila mmoja aamini anavo amini tufupishe marumbano Mkuu...

Asante
 
Last edited by a moderator:
Never on this earth! I would never enjoy or like the big-mouthed footie tactics.

Wait a minute, calling them 'footie tactics' is understatement. They are anti-footie tactics.

As #IamRed I would rather enjoy watching Liverpool under Rafael Benetiz's tactics or even Wenger's tiki taka footie, than watching Maureen's 'park the bus' strategy.

Since day one (when Maureen entered into the limelight), I have never liked him. Only Rentboys like him if he wins them title. Otherwise, he gets booed by the home crowd. Just wait and see next season, when the crowd and The Boss will get tired of 'park the bus strategy'.

You actually started the season quite well. Playing silky footie; and even tiki taka at some games. I wonder what happened then.

Anyway, these are just post-news blabs, you have won the title this year. United has tremendously improved. I am looking forward to next season in the EPL, FA and very likely in the UCL.

#IamRed

Tatizo ni kwamba hata kama timu ikicheza michezo wa kuvutia kwa maana yako wewe utatoka uwanjani umenuna kama umefungwa. Pili unachokipenda wewe siyo lazima na wengine wakipende. Mimi siwezi kupenda timu inayoweza mashuti 15 golini halafu yaliyolenga goli ni mawili tu, halafu katika hayo mawili yanaambulia patupu. Halafu mtu anadai amevutiwa na uchezaji huo!
 
Tatizo mlipowafunga liverpool na man city mlidhani mmeshakuwa juu ya timu zote kiufundi na post nyingi humu zinaonyesha mlijiamini sana japo kocha wenu hakuwahi kujiamini kivile mbele ya watu wa darajani. Mnashindwa kujua kuwa aliyekuwa na pressure ya kushinda ni man u wala siyo chelsea! Mwenye shida ya kushinda alikuwa na jukumu la kushambulia! Lengo la Chelsea lilikuwa kutokupoteza mchezo kwa maana ya kufungwa, Hivyo tactics zililenga kuvuruga mipango ya malengo yenu msiweze kufunga. Ball possesion haikuwezeshi kufunga kama haikusaidii kutengeneza nafasi nzuri za kuweka mpira wavuni. Jiulize swali, kama ulikaa na mpira kwa asilimia 70, ulikuwa unafanya nao nini? Chelsea walikuachia uchezee mpira ili mradi tu unauchezea kwa namna ambayo hautaleta madhara! Kama kwa mfano ungebahatisha kufunga goli la kuongoza usitegemee kuwa ugeachwa ukae na mpira kwa kiasi hicho. Morinho alipoona mbinu zake zinafanikiwa hakuwa na sababu ya kubadili game plan. Kubalini kiwango cha kocha wenu hakifikii kile cha "special one" pia wachezaji wenu walio wengi bado sana kiwango. Ndio maana mkiwa na majeruhi timu nzima kuanzia kocha, wachezaji mpaka mashabiki wote mnaanza kulialia! Sisi Costa ni majeruhi na kila mtu anajua ni mchezaji muhimu lakini kocha halilii bali anapanga mbinu za kiufundi za kushinda mechi bila yeye! Poleni na jipangeni!


Mtu anapokua haelewi ata haya maelezo bora kukaa kimya.....
 
Mtu anapokua haelewi ata haya maelezo bora kukaa kimya.....

Nyiye fans wa anti-football mna shida kwelikweli!!

Ni wapi nimewalazimisha mkubaliane na ninayosema?!?

Mimi nimetoa mawazo yangu; na hakuna mtu wa kunizuia kutoa mawazo yangu (iwapo sivunji kanuni za JF) hata kama unayoana ni pumba. Eboo!!
 
There have been stories and rumours and speculations about Angel Di Maria - which have been as disturbing as they have been ridiculous. Now, that Angel di Maria has extended his lease on his Manchester apartment can those rumours stop? And if that's not enough... He's gone ahead and had his number 7 tattoo on his very detailed arm. So....
Many people have labelled Di Maria as a failure this season, but I want to disagree. ADM7 himself said he's always struggled in the first season in every new league he's been to. That is normal, but even then, look at his stats and how much he's improved and adapted to the English game! Some people are citing the disagreement he had with LvG after the Liverpool game, but that's also ridiculous. It was just that - a disagreement. Unlike his sweet name, ADM7 has a temper (hehehehe) and he has strong opinions. These things happen.
Di Maria is a game changer. He made a lot of difference when he came in against Chelsea - with deft passes that went behind the defence. And the other that found Falcao offside. Even most astonishing, Di Maria tracked back the most I've ever seen him. He was defending, clearing the lines and making things happen at the back because Tyler, though!


Now, Di Maria may not be able to get on the starting lineup because of Ashley Young's awesomeness! But, nobody can deny he deserves that. I think, just like Mata and Herrera, he'll wow the roof off the world the day he'll start. And even then, why are we complaining? He's an impact sub. Any opponent, after being harassed by Young all game sees Di Maria warming up just feels like hitting van Gaal! He's hot double figures in assists this season... and also scored.
Di Maria will be great. You wait and see. Just to be sure, we all agree Angel Di Maria should remain at OT, right? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬‪#‎uniteddamu‬

11165160_360242067503603_8280428986307013858_n.jpg
 
Nyiye fans wa anti-football mna shida kwelikweli!!

Ni wapi nimewalazimisha mkubaliane na ninayosema?!?

Mimi nimetoa mawazo yangu; na hakuna mtu wa kunizuia kutoa mawazo yangu (iwapo sivunji kanuni za JF) hata kama unayoana ni pumba. Eboo!!

Nzi nimekuelewa kaka.....mpira au ushabiki sio ugomvi Mkuu...

Haya yameshapita Mkuu...tugange yajayo.
 
Last edited by a moderator:
Wala sina sababu ya kujificha! I'm very proud of my team,what a performance!fantastic display! Without our three key players we did alright! A lot of positives from this defeat. If we were told(at the beginning of the season) that we would be third in mid April,only one point behind second place none of us would complain. Having said that I must insist I didn't have anything to comment, Nzi mfarisayo everlenk kitwala privacy said it all! And you Ntuza Mentor Viol have ur opinions and stands which u don't wanna change or agree whatever others say! Congrats u won the game,u deserve to be champions! Since august u were brilliant

jibu lako lipo chini...

For me it is not bad even if Man U lose the game against CFC,kwa mtu yeyote anayefuatilia soka atakubali kwamba timu ilicheza vyema na ina madiliko makubwa tofauti na msimu ulivyoanza na msimu uliopita
Kilichoi-cost timu jana ni kukosekana kwa striking force,Falcao alipwaya,na kwa mechi kama ile ilihitajika nguvu ya Rooney.
Asiyekubali kushindwa si mshindani!

Ibhara na RRONDO haya maneno hamkuyatamka kabla ya mechi. nakumbuka mlisema lazima mtufunge liwalo na liwe...oh form yetu imeshuka..ooh wachezaji wetu wamechoka...blah blah blah. oooh rooney oooh fellaini..oh herera..oh oh oh...

Leo mnajifanya eti we are happy with the performance...performance my ###....tangu lini ulisikia mwanafunzi bora wa mwandiko mzuri wewe!?????? Hizo mbwembwe tu...khe khe khe kheeee

Alaa kumbe nina hasira!

Since when are you a psychologist or something bruv?

Sasa leo unasema financial crisis ndiyo iliyowafanya mshindwe kubeba makombe ama? United imekuwa katika financial crisis toka dem Yankees walipochukua timu, the rest is history.

Hao wachezaji tulionunua na kukopa hawajaonyesha kitu?! Unageneralise hivyo kiaje arifu? Ukitoa Falcao (ambaye ana assists 4 na goli nne, kama New Titi wenu &#62978😉, wengine wote wamecheza vizuri sana kwa msimu wao wa kwanza EPL. Di Maria (licha ya shida za hivi karibuni) ana assists nyingi kuliko hata Nemo aliye msimu wa pili EPL. Herrera, hakuna mchezaji wa Goons kwa namba yake anayeweza kumlinganisha naye. Blind, one of the most versatile players katika EPL. Hata dogo Shaw, licha ya majeruhi kakipiga vizuri tu.

United is on the move chief....this year's target is to get a spot back to UCL. So far, everything is on track...Labda uonyeshe targets za United katika kujustify your baloney kuwa United inamaliza mikono mitupu. Yes, haitochukua kombe lolote, lakini kwa a transiting team, so far so good. United wants to get back into the limelight of footie.

Mbona unajikanganya mazee, unasema tumeshindwa kuattract mastar baada ya kushindwa kwenda UCL, halafu unasema tumetumia bajeti ya TZ kununua mastar. Sasa hapo huoni kama fedha ndiyo inayoongea siku hizi kwenye soka?!? Mbona goons miaka yote mnaenda UCL mlishindwa kuattract hao mastar kama kigezo kikuu ni kwenda UCL?!? Si umeona jinsi pesa zilivyowatoka kwa Nemo na Sanchez? Kwa hiyo hao wangekuja tu kwa vile Goons wanaenda UCL? Kwani R. Madrid na Barcelona zilikuwa hazipo UCL mpaka wawe 'attracted' na Goons walio UCL?!? Mbona hao mastars walishindwa kwenda Loserfools kama UCL ndicho kigezo?!?

Dude, you are talking like a gramps!

Naomba nikuchokoze kwa hii picha...

27C13CEC00000578-3046179-image-a-26_1429478072408.jpg
 
Last edited by a moderator:
Masahihisho,
Falcao amechukuliwa kwa mkopo wa £ 6 m sio 20,LVG alikuwa smart sana kwenye usajili huu kama angesajiliwa permanent usajili wake ungefika £ m 50 kwa hiki kiwango kweli tungekuwa tumepata hasara

Di Maria ni flop kama unavyosema but ana assists 10 na amecheza game chache ukilinganisha na Cesc anayeongoza

Luke Shaw kama ulimuona game na Chelsea nafikiri unaweza ukatoa assessment vizuri,dogo atakuwepo United kwa zaidi ya miaka 10 kama Rio hiyo hela aliyonunuliwa itaonekana ndogo sana.Blind amesajiliwa kama kiungo sio full back but ni versatile player anacheza popote kumbuka Carrick umri umekwenda

Mwisho usitake kufananisha financial power ya Arsenal na Man United,tuna ubavu wa kuja kuchukua mchezaji hapo kwenu but hamna ubavu kuja kuchukua kwetu,now mna hela still mmesajili kina Chambers,Wellbeck

Nakusalimia tu Belo,

27C13CE400000578-3046179-image-a-20_1429477822360.jpg
 
Last edited by a moderator:
jibu lako lipo chini...



@ibhara na RRONDO haya maneno hamkuyatamka kabla ya mechi. nakumbuka mlisema lazima mtufunge liwalo na liwe...oh form yetu imeshuka..ooh wachezaji wetu wamechoka...blah blah blah. oooh rooney oooh fellaini..oh herera..oh oh oh...

Leo mnajifanya eti we are happy with the performance...performance my ###....tangu lini ulisikia mwanafunzi bora wa mwandiko mzuri wewe!?????? Hizo mbwembwe tu...khe khe khe kheeee



Naomba nikuchokoze kwa hii picha...

27C13CEC00000578-3046179-image-a-26_1429478072408.jpg

inawezekana nimesahau. hebu lete post ambayo nilisema lazima tuwafunge.
 
Back
Top Bottom