Peculiar
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 821
- 689
Wachezaji wote uwanjani wanajua kucheza Mpira..
Walimu ndo wamezidiana.
Man u kiufundi walikuwa vizuri
Kimbinu walikua hovyo
Chelsea kiufundi hatukucheza vizuri
Lakini kimbinu tumefaulu 100℅
Chelsea ndio mbabe wa man u na wazembe wengine wote!
Unakuja darajani kichwakichwa!
BEGI BILA NAULI UNABAKI
Da! Man u toka waifungage chelsea wamesahau,wakipata droo wanashukuru maana ndo ushindi wao
MZEMBE ACHA APIGWE TU!
Walimu ndo wamezidiana.
Man u kiufundi walikuwa vizuri
Kimbinu walikua hovyo
Chelsea kiufundi hatukucheza vizuri
Lakini kimbinu tumefaulu 100℅
Chelsea ndio mbabe wa man u na wazembe wengine wote!
Unakuja darajani kichwakichwa!
BEGI BILA NAULI UNABAKI
Da! Man u toka waifungage chelsea wamesahau,wakipata droo wanashukuru maana ndo ushindi wao
MZEMBE ACHA APIGWE TU!