Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Attachments
Last edited by a moderator:
Yaani unacheza nyumbani kwa 30% possession?!? Hivi washabiki wa rentboys uwa mnashangilia?!?
Yaani unacheza nyumbani kwa 30% possession?!? Hivi washabiki wa rentboys uwa mnashangilia?!?
Kubebwa??? Man tafuta kisingizio kingine aisee..leo tumebebwa na nani??? Khe khe kh kheeeeeeee
Proud and loving our team...there are moments for everything sir. Kama ni class kila shabiki wa chelsea anajua we have. Leo tulitaka tu kuwapa funzo.
Btw LVG tangu jumapili iliyopita alijua kikosi cha chelsea kitakachocheza leo..unadhani angeshindwa kujipanga kwa ajili ya hili au na yeye mbinu zilimuishia. Tafuta kisingizio kingine na wewe.
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeee
Cc: everlenk na BelindaJacob
Wewe ulie cheza kwa 70 asilimia umepata nini?
Kwa 18th century football rentboys waliyocheza (30% possession at home 😳😉 ni vigumu kuvunja hilo basi. Kama umeangalia post-match interview ya Maureen kaonyesha kabisa nia yake ilikuwa ni kupata points 3 tu.
Nakumbuka alivyocheza na West Ham (walivyopaki basi) alilalamika sana na kusema W. Ham walicheza 18th century football. Na kuponda sana mfumo huo. Leo kala matapishi yake!!
Nzi tumecheza poa sana ukizingatia nyie pia hamkucheza mpira..maana mpira aio possession.Yaani unacheza nyumbani kwa 30% possession?!? Hivi washabiki wa rentboys uwa mnashangilia?!?
Points twapoteza lkn chenga twawala?
Tukipoteza game tuwapongeze waliotufunga ndiyo soka jamani
Kubishana Na wewe lazima uwe kichaa kidogo....
Haya sasa kuna watu walikuwa wanasema nani atamkaba manywele, wengine wakasema Mata mtamkoma ana hasira na Chelsea! Wamefanya nini hao watu wenu? Sana sana jitahidini kubuni Visingizio!
Nzi tumecheza poa sana ukizingatia nyie pia hamkucheza mpira..maana mpira aio possession.
Kama ni beautiful football mmeionesha wapi? Kwa mapasi marefu kwa fellaini? Kwa dribbles zipi..ni kwamba tu mlikaa na mpira mda mrefu ndo mnajiona mnajua kucheza mpira? Cmon man...
Ni mchezaji wenu yupi kacheza 21st century football please grafani 11 na privacy!??
Acheni kulalamika...the only way to beat timu inayokimbilia kukaa na mpira ni ku defend zaidi ndo maana sisi chelsea tutakuwa mabingwa tu. We learn to adapt. Mngecheza kama man city last weekend na sisi tungefunguka vivyo not today's diving 21st century game!
Stop lamenting..u r a one formula team....
Chenga zenyewe hawajatula zaidi ya kubutua mbele...kumnyima Falcao pasi na kuwageuza Smalling na McNair kuwa midfielders.
But u have nailed brother.
Wewe ulie cheza kwa 70 asilimia umepata nini?