cute b are you blue???!Halivunjwiiii
Tafuta panado mapemaMou aliiharibu timu yangu, so milele namchukia. Ninyamazishieni huyu mtu wazee, kila la kheri. GGMU! 4 this one
cute b are you blue???!
Mi nadhani LVG ameanza na Falcao kwa kutumia historia yake na sisi alipokuwa atletico...lakini pia kuna striker gani mwingine benchi? Na Je kama Rooney akija mbele nani atacheza nafasi yake? So far as a chelsea fan nahisi rooney ndo mtu mwingine wa kumpa marking ya kutosha ameonesha hatari...fellaini na falcao tushawatia mfukoni via Zouma na Terry respectively.
Go Blue... #trueBLUE
Tafuta panado mapema
Pale mbele pamepooza sana