![]()
Michael Owen celebrates his first goal for Manchester United at Scunthorpe.
hongereni sana, naona mmepunguza pointi moja.Waungwana naona wapinzani Leo wameteleza, natumaini kesho tutashinda na kupunguza gap ya point na Chelsea.
Hargo na Carrick wameanza training Anderson kesho anaweza kufeature kwenye first team, slowly things are beginning to look promising.
Hakuna kulala walianza kupiga kelele kama kawaida yao,Carick auzwe naona Gibson yuko fit kuliko Carick
Afadhali tu Chelsea wameonja Kichapo angalau wanyamaze kidogo
Waungwana naona beki yetu sasa wanafanya ndalilo kila siku wanakuwa bailed out na washambuliaji something is seriously wrong. Nashindwaga kumuelewa gaffer inakuwaje anamuacha Rafael na kumpanga O'shea? Mwenye kujua naomba anisaidie. Rooney kwa sasa inabidi apumzishwe mpaka atatue matatizo yake ya nje ya uwanja instead wapewe nafasi akina Owen, Chicharito au Macheda. Evra bado ana disappointments za kombe la dunia kwa maoni yangu bado kichwa hakijatulia. Evans sio first choice CB material na O'shea oh well anafaa kuwa kwenye benchi lakini sio first choice na kama SAF ataendelea kumpanga basi tusahau ata kuchukua carling cup.
Waambie ili wajue kuwa a good football team is like a clock, when one item is missing,the whole clock doesnt function well!!!Mkuu, the missing link ni Rio & Vidic Partnership.
Fergie ajaribu kumrudisha O shea acheze kati na Vidic,kuna wachezaji wanahitaji kupewa likizo ya at least mwezi mzima Rooney,Evra.Nashukuru kwamba Michael Owen yuko kwenye formWaungwana naona beki yetu sasa wanafanya ndalilo kila siku wanakuwa bailed out na washambuliaji something is seriously wrong. Nashindwaga kumuelewa gaffer inakuwaje anamuacha Rafael na kumpanga O'shea? Mwenye kujua naomba anisaidie. Rooney kwa sasa inabidi apumzishwe mpaka atatue matatizo yake ya nje ya uwanja instead wapewe nafasi akina Owen, Chicharito au Macheda. Evra bado ana disappointments za kombe la dunia kwa maoni yangu bado kichwa hakijatulia. Evans sio first choice CB material na O'shea oh well anafaa kuwa kwenye benchi lakini sio first choice na kama SAF ataendelea kumpanga basi tusahau ata kuchukua carling cup.
Sitegemei kabisa kama RIO atarudi tenaMkuu, the missing link ni Rio & Vidic Partnership.
Rio akirudi mtakuwa sawa bana,
Kilio cha wote wikiendi hii...hii hiii hii....
poleni!
Fergie ajaribu kumrudisha O shea acheze kati na Vidic,kuna wachezaji wanahitaji kupewa likizo ya at least mwezi mzima Rooney,Evra.Nashukuru kwamba Michael Owen yuko kwenye form
Naona gaffer amesikiliza kilio cha wengi Rooney hatocheza jumatano. Kwa upande mwingine maneno mtaani yanasema Rooney na SAF walipandishiana kwenye dressing room.Fergie ajaribu kumrudisha O shea acheze kati na Vidic,kuna wachezaji wanahitaji kupewa likizo ya at least mwezi mzima Rooney,Evra.Nashukuru kwamba Michael Owen yuko kwenye form