Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

we need Mata off...Di maria on...we want to attack from both wings..
 
Kocha kumpanga Falcao ana kitu cha kuwaeleza wadau timu ikifungwa. Asipotolewa second half anaweza kuzalisha kadi isiyo na sababu kwa upande wowote.
 
Good performance kipindi cha kwanza tunatakiwa kuongeza umakini kwenye Counter attack kipindi cha pili tunahitaji Pass ndefu na cross nyingi maana Chelsea watapaki basi

Tunatakiwa kushambulia kwa zaidi.
Umakini uongezeke.
Falcao atoke.
Haina maana kumiliki kama hatufanyi attempts.
 
Kocha kumpanga Falcao ana kitu cha kuwaeleza wadau timu ikifungwa. Asipotolewa second half anaweza kuzalisha kadi isiyo na sababu kwa upande wowote.

Falcao atoke tu, hakutakiwa hata kuanza.
 
Soccer bwana eti josee anaona aibu kushangilia mbele ya lvg.teh teh teh
 
Kocha kumpanga Falcao ana kitu cha kuwaeleza wadau timu ikifungwa. Asipotolewa second half anaweza kuzalisha kadi isiyo na sababu kwa upande wowote.

Kampanga kwa sababu ana nguvu na unaona anajitahidi kuzunguka sehemu nyingi kusaidia hata viungo na kuleta purukushani kwa mabeki.
 
poor LVG....
kwanini anatumia wing moja.....

Young keshajuliwa na ivanovic...akimpita ivanovic anakutaka na Cahill....

Kabisa mkuu. Tukishambulia sana tunapunguza tensio golini kwetu, kwahyo wachezaji wanakuwa comfotable zaid. Ila hii ya kuzubaa na kushambuliwa, morinho hafanyi makosa kwa hizo chance chache anazozipata
 
Mazigazi
km utaangalia second half..jipange kuangalia goli za man u tuu...

waiter.. " Pour some liquor plz.."
 
Back
Top Bottom