TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
Mou aliiharibu timu yangu, so milele namchukia. Ninyamazishieni huyu mtu wazee, kila la kheri. GGMU! 4 this one
Leta utabiri leo
Falcao atathibitisha jinsi alivyo Flop yeye na Di Maria. Sijawahi kuona mchezaji expensive katika timu yoyote anasugua benchi kama Di Maria.Real Madrid waliwakamua karibia £60M kimacho macho kama Mtaa wa Kongo, enzi zile. Ashley Young anaonyesha jinsi gani Di Maria alivyo garasa. Two biggest Flops in the world.
Man U inacheza mpira mzuri sana mpaka kwa dakika hizi.
Nani na nani?Wale watatu wangekuwepo wale wa man u sijuiii leo ingekuwahs
Nani na nani?