Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi de gea ni mtu au jini

zamani makipa wanaodaka kama De Gea tulikuwa tunawaita "manyanda" au "nyanda"...

Yaani hao wanadaka hata kama mpira unaelekea nje tena kwa style ya nyani...
 
Dunia nzima inaburudishwa na jinsi Man Utd wanavyotandaza kabumbu

naona mnavyoburudisha Hazard kashatupia 1 hapa. Kama nilivyosema Mourinho amekuja defensive na kutarajia atapata nafasi zake mbili tatu za kufunga goli then watarudisha basi katikati. Zamu yenu kujaribu kuwatungua sasa hivi.
 
naona mnavyoburudisha Hazard kashatupia 1 hapa. Kama nilivyosema Mourinho amekuja defensive na kutarajia atapata nafasi zake mbili tatu za kufunga goli then watarudisha basi katikati. Zamu yenu kujaribu kuwatungua sasa hivi.

Kidefence tutamfunga
 
Dirty John Terry. Ilitakiwa refa ampe kadi ya njano kwa kumzuwia FLopao kunyanyuka. Hizi ndio the so called tactics master plans za Mourinho wakiwa wameshapata goli.
 
Aliyesema refa wa leo chizi aliwahi kufungiwa nimeamini. Beki anaangushwa anapeta ili Man U ifungwe tu.
 
Good performance kipindi cha kwanza tunatakiwa kuongeza umakini kwenye Counter attack kipindi cha pili tunahitaji Pass ndefu na cross nyingi maana Chelsea watapaki basi
 
poor LVG....
kwanini anatumia wing moja.....

Young keshajuliwa na ivanovic...akimpita ivanovic anakutaka na Cahill....
 
Back
Top Bottom