Nisaidieni link wanaoangalia online,link zangu zote zipo slow msaada please waungwana[/QUOTE
Tutakusimulia usijari hii ndo ipo faster
Mourinho kama kawaida yake amepanga timu kucheza defensive na kutarajia wapate nafasi mbili tatu za kufunga goli.
Nisaidieni link wanaoangalia online,link zangu zote zipo slow msaada please waungwana
Nisaidieni link wanaoangalia online,link zangu zote zipo slow msaada please waungwana
Dunia nzima inaburudishwa na jinsi Man Utd wanavyotandaza kabumbu
Ni mapema sana kusema Di Maria ni flop, huu ni msimu wake wa kwanza tu msimu ujao naweza kuwa mzuri hadi ukala matapishi yako, kwa ilikuwaje kwa fellain na hata Mata? watu walisema tumeuziwa magarasha leo hii ni wachezaji bora kabisa. Inaweza kutokea pia mchezaji akaanza vizuri badae akafulia Ozil wa leo ni sawa ni yule wa round ya kwanza ya msimu uliopita? Alexis mwenyewe mzunguko wa kwanza alikuwa moto sasa hivi hoi
Duh!! Humu net imekuwa shida sana,so far tuko vizuri ni goal liingie tu
hivi de gea ni mtu au jini
Refa mwehu huyu anatoa foul ya kijinga
Duh!! Humu net imekuwa shida sana,so far tuko vizuri ni goal liingie tu