Mimi sijui mnatoa wapi hiki kiburi... Hivi hadi sasa manure mnataka kuijadili gemu mliyopoteza tayari:what::what:
Ila hebu nogesheni jukwaa... Jioni msikimbie wanangu.
Hatuwezi kupoteza...na jioni apa ni shangwe tuu
Mimi sijui mnatoa wapi hiki kiburi... Hivi hadi sasa manure mnataka kuijadili gemu mliyopoteza tayari:what::what:
Ila hebu nogesheni jukwaa... Jioni msikimbie wanangu.
Game itakuwa ngumu sana hasa baada ya wachezaji wengi wa man kuwa majeruhi.
Mkuu sio kuota. Hii gemu nimeshahisi kuna approach ambayo LVG anatakuja nayona itawashangaza Chelsea na Mourinho wao.....baad ya hii gemu utaona
Pamoja sana kamanda
Game itakuwa ngumu sana hasa baada ya wachezaji wengi wa man kuwa majeruhi.
Mmmmh mtakimbiana humu
Aaahhh wapi sasa wew jioni ndo hautanusa huku kabisa yani
Binafsi naona ana pwenti kiongozi.
Nani ana pressure kati yako na yeye?
Timu gani ipo katika form kati yako na yeye?
Ubingwa nani ana nafasi kubwa ya kuuchukua kati yako, mimi na yeye??
Naomba kusitokee kadi nyekundu maana hizi game hazichelewi kuharibiwa Na waamuzi
View attachment 244516
The Making : Expendable VII
*****
Hii picha imenifanya niyakumbuke maneno ya Van Gaal jana....!! Kama ulipitwa kidogo alisema....
On Chelsea:
"I think they play at home, I think that Chelsea is satisfied with a draw.
"The question is how long their players can play in a discipline."
Ntuzu hii gemu kwenu mnaiona imeshakuwa rahisi baada ya injury crisis ila kiukweli nahisi itakuwa gemu ngumu kuliko wangekuwepo hai wachezaji walioumia na hii itachangiwa na wachezaji waliokuja kuziba hizo nafasi kutaka kuprove kwa kocha kuwa still they can do something na kujijengea imani kwa kocha