Pamoja na majeruhi yote hayo...United We Stand! kesho ananyolewa mtu mbele ya halaiki yake.
Dah...hizi tambo ni noumer asee!
Najua Valencia akipanda anaenda Kupiga cross dongo ambazo ni mbaya sana, ila sasa mpaka apate nafasi ya Kupiga hiyo cross dongo mbele ya Azpilicueta roho mbaya ni tabu....na kipanda tu dogo akachua mpira Hazard anahesabu ...
Hahahahaaaaa
Kiongozi tunatoka kwa ManU tunakuja kwako...
Jiandaeni kurushiwa tambo....
Dah...hizi tambo ni noumer asee!
Hahahahaaaaa
Kiongozi tunatoka kwa ManU tunakuja kwako...
Jiandaeni kurushiwa tambo....
Tambo ndo zinafanya tuifuatilie mechi kwa ukaribu zaidi mkuu.
Na zikikosekana hizi humu ndani patanuna.
Kweli Mkuu...lkn majembe km nyie mnajificha Na kumuacha dada yenu peka Yake? Watu km kina Nzi Na RRONDO wanachungulia tu...wanasubiri mpk mpira uishe tena waone wameshinda ndio utawaona Na uchambuzi wao....Hahahaaaaaaaaaa
bila tambo na vijembe humu hapanogi na pataboa.
Tambo ndo zinafanya tuifuatilie mechi kwa ukaribu zaidi mkuu.
Na zikikosekana hizi humu ndani patanuna.
Mi niko tayari kiongozi. Japo mkija kwetu ni maumivu tu..
Ntuzu kukosekana kwa hawa watu wangu naona kumekuja wakati muafaka kwenu, Phil Jones, Daley Blind, Marcos Rojo and Michael Carrick
Mkubwa kama hao wachezaji kesho wakikosekana itakuwa na madhara makubwa kwetu na itabadilisha muelekeo wa mpira na matokeo kwa ujumla.
Man Utd iliyokamilika kesho ilikuwa bila ya tatizo lolote inajichukulia ushindi hapo darajani, ila kwasasa inabidi itumike plan b ambayo still inaweza kufanya kile ambacho watu wengi wanakitarajia kwa kuondoka na points 3 hapo darajani.
Glory Glory Man Utd
NB: Neno "kama" nimeliweka rangi nyekundu sio kwa kukosea, kesho nitakwambia kwanini limetumika na kuwekewa rangi nyekundu
Huyu Hazard sometimes mnamkuza kupitiliza, labda niulize maswali machache
1. Ana assist ngapi?
2. Amefunga magoli mangapi?
3. Ana coverage gani ndani ya uwanja kiasi cha kuwa special kiasi hicho au ule udambwidambwi tu ndo unawakosha?