Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kitwala kuna sehemu nimesoma Michael Carrick ndio anaweza kukosa huu mchezo...lkn hao wengine wote watakuwepo....
Ntuzu Wapi tena huko zaidi ya kauli ya Manager ambaye ndio alithibitisha kutokuwepo kwa wachezaji hao!!?? LvG ameviambia vyombo vya habari kuwa kuna ambao wangeweza kurudi kikosini (wamesha recover) ila mechi hii imekuja wakati mbaya kwao. Nahisi alimaanisha Rojo na Blind kama hii mechi ingechezwa J3 basi tungewaona kwa pitch...
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu Wapi tena huko zaidi ya kauli ya Manager ambaye ndio alithibitisha kutokuwepo kwa wachezaji hao!!?? LvG ameviambia vyombo vya habari kuwa kuna ambao wangeweza kurudi kikosini (wamesha recover) ila mechi hii imekuja wakati mbaya kwao. Nahisi alimaanisha Rojo na Blind kama hii mechi ingechezwa J3 basi tungewaona kwa pitch...


Mkuu kuna habari nimeona ina km dakika 30 imetoka ktk kupekua hizi habari....ngoja niitafute tena nilete na chanzo cha hiyo hbr kabisa....

Ni kweli LvG ndio alitoa hiyo habari Na yeye ndio chanzo cha habari cha kuaminika... Lkn ata ukiangalia namna alivoitoa yeye mwenyewe ni km aliweka mkazo kwa Carrick sn ktk kua majeruhi kuliko hawa wengine Na Carrick ilionekana tangu siku ile ya man city.....kulikoni hawa wengine....

Alafu pia angaria majibu ya José Mourinho kutokana na hiyo habari ya majeruhi ya hao wachezaji.... Utaona km kuna mind game zinaendelea...

Ntarudi soon........
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sio kuota. Hii gemu nimeshahisi kuna approach ambayo LVG anatakuja nayona itawashangaza Chelsea na Mourinho wao.....baad ya hii gemu utaona



Tumeshajiandaa kwa kila kitu Na huu mchezo ni rahisi sn kuliko ule Wa QPR....LvG yeye aje vovote tunamfahamu vzr sn km anavotufahamu sisi.....
 
Ntuzu hii gemu kwenu mnaiona imeshakuwa rahisi baada ya injury crisis ila kiukweli nahisi itakuwa gemu ngumu kuliko wangekuwepo hai wachezaji walioumia na hii itachangiwa na wachezaji waliokuja kuziba hizo nafasi kutaka kuprove kwa kocha kuwa still they can do something na kujijengea imani kwa kocha
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu hii gemu kwenu mnaiona imeshakuwa rahisi baada ya injury crisis ila kiukweli nahisi itakuwa gemu ngumu kuliko wangekuwepo hai wachezaji walioumia na hii itachangiwa na wachezaji waliokuja kuziba hizo nafasi kutaka kuprove kwa kocha kuwa still they can do something na kujijengea imani kwa kocha

Asante sana JOAQUEM kunywa kapepsi kabaridi huko uliko nakuja kulipa.............
 
Last edited by a moderator:
Game itakuwa ngumu sana hasa baada ya wachezaji wengi wa man kuwa majeruhi.
 
Ntuzu hii gemu kwenu mnaiona imeshakuwa rahisi baada ya injury crisis ila kiukweli nahisi itakuwa gemu ngumu kuliko wangekuwepo hai wachezaji walioumia na hii itachangiwa na wachezaji waliokuja kuziba hizo nafasi kutaka kuprove kwa kocha kuwa still they can do something na kujijengea imani kwa kocha


Imekua rahisi si kwasababu eti ya majeruhi....ni rahisi tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom