Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duuu man kama alshababu vileeee....
 

Attachments

  • 1428861785993.jpg
    1428861785993.jpg
    23.9 KB · Views: 170
Mnatafuta heshima?

Miezi kama 4 ya nyuma kulikuwa na maneno kuwa Man Utd itamaliza kwenye nafasi yake kama msimu uliopita, Man Utd wametumia hela kijinga kufanya usajili wake, Man Utd ikawa inachekwa kwa kufungwa na timu kama ya Leicester, Kuna watu wakaapa kabisa kuwa Man Utd haiwezi kuifunga timu zao, watu wakaweka ahadi kuwa Man Utd ikimaliza juu yao wapigwe ban, Man Utd wakiifunga timu zao wapigwe ban na wengine wakasema watajitoa hapa JF msimu huu wote {ingawa bado wapo}

Kwahiyo heshima ikapungua humu kwenye jamvi, ila baada mmoja baada ya mmoja kuanza kuchezea kichapo kinachoambatana na kuzidiwa vibaya sana uwanjani kwa wachezaji wao kuwa wanaonekana wanakimbia kimbia tuu uwanjani , heshima imeanza kurudi.

Wamebakia wawili akianzia wa week ijayo, ambaye atatuheshimu tuu vizuri sana baada ya mpira kuisha. Asante sana kwa kunisikiliza
 
Back
Top Bottom