Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kitwala hapo mtawaumiza Man City na si Chelsea. Kwanza mnakuja darajani ambapo sisi mpk sasa tumepoteza mchezo mmoja tu. Mkijitahidi sn ni draw lkn kufungwa Man U hiyo ni lazima ili kujiweka vzr ktk kuchukua kombe!

Shughuli itakuwa kama ile ya first round. Draw hatuitazamii sana ila ikitokea siyo mbaya meanwhile kuna point 3 zetu kwa Arsenal.
Heheheheheheheeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Ntuzu sasa tunaweza alikana Pasaka lol, mechi za jumamosi huwa sizipend kabisaa nilifarijika tu kwamba tuko home.

Mmecheza vzr mamito kz kwenu kumshusha Man City tarehe 12

Hongera zenu nyingi humu wakuu kwa ushindi wenu mnono na 3 points kibindoni. Sasa tujiandae kuwaangalia akina Ntuzu na kalou wakipigiwa bao na Stoke City 🙂🙂 hili likitokea basi itakuwa poa sana.

CC: everlenk

Aisee BAK acha hizo bhana ntakununia lol!

Nimemuona mdudu Nzi kaibukia ktk thread ya LFC mdudu bhana kiboko!
 
Last edited by a moderator:
Wanatisha baada ya kuipiga chini falsafa ya LV Girl, sasa hivi inatumika falsafa ya Ryan Giggs ambayo inashabihiana sana na ile ya SAF.

Hongereni wenzangu....what a game.....

Goalz za Leo nimezipenda....full composure

Bring on Shite next weekend
 
Hii post naomba nii save ili mbeleni tuwe na ushahidi

Unachelewa nini? Ngoja nikuitie na rafiki yangu RRONDO akusaidie kuisave hiyo post then mmeje mnikumbushe tarehe 18.

Kwa mzigo uliotupia Stoke hana pa kutokea.


Yaah. Nimeona kikosi chetu ni kizuri hasa nimependa alivoanza Remy!
 
Last edited by a moderator:
Hii combination ya Mata na Herrera ni tamu sana

That was my dream kiwaona na inalipa....inachagizwa vizuri zaidi na kasi ya Valencia....

Herrera raha Sana....hana mambo mengi na gozi la ng'ombe....anagusa, anasogea, anafungua kutafuta chumba ukizubaa anatupia....

Nimeamini kauli yake kuwa anaangalia sana Video clips za Scholes
 
Na hapo hayuko kwenye form..
 

Attachments

  • 1428167141016.jpg
    1428167141016.jpg
    44.8 KB · Views: 149
Hongereni sana #ManUnited fans....

Leo timu imepasha msuli kwa ajili ya Derby...naona na Wazza alikuwa akifanya mazoezi ya kupiga tena ile bicycle kick...

Angalau sasa unaona timu inavyocheza, kumekuwa na consistency toka game dhidi ya Spurs....

Combo la Mata na Herrera na hatari kwa afya za timu pinzani....

Kitu kimoja tu naomba LvG asije haribu ni kumpanga Evans kwenye backline, huyo jamaa asugue benchi na mwisho wa msimu apigwe bei....alikuwa very promising, lakini naona majeraha ya mara kwa mara yamemaliza kabisa kiwango chake.

RvP nashukuru kwa mchango wako, haswa kutupatia taji la 20. Lakini nakutakia safari njema. Ukipona usije mloga LvG aanze kukupanga na kuharibu formation ya sasa...

Tukutane tena tarehe 12 hapa hapa uwanja wa nyumbani kwa ajili ya Derby na watani zetu Man Shitty...
 
Hongereni sana #ManUnited fans....

Leo timu imepasha msuli kwa ajili ya Derby...naona na Wazza alikuwa akifanya mazoezi ya kupiga tena ile bicycle kick...

Angalau sasa unaona timu inavyocheza, kumekuwa na consistency toka game dhidi ya Spurs....

Combo la Mata na Herrera na hatari kwa afya za timu pinzani....

Kitu kimoja tu naomba LvG asije haribu ni kumpanga Evans kwenye backline, huyo jamaa asugue benchi na mwisho wa msimu apigwe bei....alikuwa very promising, lakini naona majeraha ya mara kwa mara yamemaliza kabisa kiwango chake.

RvP nashukuru kwa mchango wako, haswa kutupatia taji la 20. Lakini nakutakia safari njema. Ukipona usije mloga LvG aanze kukupanga na kuharibu formation ya sasa...

Tukutane tena tarehe 12 hapa hapa uwanja wa nyumbani kwa ajili ya Derby na watani zetu Man Shitty...

Tukimalizana na shitty tuungane pamoja safarini kwwnda kuchukua point 3 muhimu pale darajani tar 18.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom