Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

wadau na wapenzi wa jukwaa hili nawatakieni sikukuu njema ya pasaka, kwani najua tutasherehea vyema baada ya kuzoa point 9 ktk mechi tulizoaminishwa kuwa ni ngumu.
Pole kwao walionyonyolewa manyoya, wajue tu kuwa huu ni mpira wa miguu ambao una matokeo ya aina 3 kushinda, kushindwa ama sare.
Nawape faraja tu kuwa bado wana nafasi ya kujifuta machozi kwenye kakikombe ka FA ikiwa watazichanga karata zao vizuri.
Otherwise nawatakieni PASAKA NJEMA NYOOTE
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
wadau na wapenzi wa jukwaa hili nawatakieni sikukuu njema ya pasaka, kwani najua tutasherehea vyema baada ya kuzoa point 9 ktk mechi tulizoaminishwa kuwa ni ngumu.
Pole kwao walionyonyolewa manyoya, wajue tu kuwa huu ni mpira wa miguu ambao una matokeo ya aina 3 kushinda, kushindwa ama sare.
Nawape faraja tu kuwa bado wana nafasi ya kujifuta machozi kwenye kakikombe ka FA ikiwa watazichanga karata zao vizuri.
Otherwise nawatakieni PASAKA NJEMA NYOOTE

asante na kwako pia!
 
Lilitaka kulikaribia lile alowafunga man city wazza khabari nyingine

Sawa kabisa mkuu, Rooney jinsi alivyofunga lile bao hata mimi sikutarajia. Kweli ule ni mguu halisi wa Shetani mwekundu.
 
Hongereni sana #ManUnited fans....

Leo timu imepasha msuli kwa ajili ya Derby...naona na Wazza alikuwa akifanya mazoezi ya kupiga tena ile bicycle kick...

Angalau sasa unaona timu inavyocheza, kumekuwa na consistency toka game dhidi ya Spurs....

Combo la Mata na Herrera na hatari kwa afya za timu pinzani....

Kitu kimoja tu naomba LvG asije haribu ni kumpanga Evans kwenye backline, huyo jamaa asugue benchi na mwisho wa msimu apigwe bei....alikuwa very promising, lakini naona majeraha ya mara kwa mara yamemaliza kabisa kiwango chake.

RvP nashukuru kwa mchango wako, haswa kutupatia taji la 20. Lakini nakutakia safari njema. Ukipona usije mloga LvG aanze kukupanga na kuharibu formation ya sasa...

Tukutane tena tarehe 12 hapa hapa uwanja wa nyumbani kwa ajili ya Derby na watani zetu Man Shitty...
Mkuu unaongeleaje magoli aliyofungwa Degea katika hizi mechi mbili tukianzia na lile la Sturridge pale Anfield na la Benteke leo hii.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mkuu unaongeleaje magoli aliyofungwa Degea katika hizi mechi mbili tukianzia na lile la Sturridge pale Anfield na la Benteke leo hii.

Bao la sturidge ni la kiufundi coz ilikuwa vigumu kubana engo zote! Lile la benteke de gea anamatatizo ya macho na pale jua linawaka isingekuwa rahisi kuuona mpira! Hata hivyo ametuokoa sana msimu huu
 
Mkuu unaongeleaje magoli aliyofungwa Degea katika hizi mechi mbili tukianzia na lile la Sturridge pale Anfield na la Benteke leo hii.

La Stulini nafikiri lilikuwa na deflection kidogo; la Benteke naamini hata DDG mwenyewe anafahamu alikosea timing.
 
Nzi;

kuna utatu pale mkuu kuna valencia,mata na herrera fuatilia ule upande hao watatu wanaocheza ni hatar tupu.
 
Last edited by a moderator:
Wanafuata
1. Man city
2. Chelsea
Tukiwaumiza hawa nafasi ya pili ya kwetu.

Kumbe mtacheza dhidi ya City na chelsea mechi zinazofuata. Uhakika wetu wa kuishia top 3 utakamilishwa katika hizi mechi zenu 2. Mtaondoka maybe na 1 point kama sio 0 point.
 
Mlisema maneno hayohaya VS Spurs, VS Liverpool!

Kawaida yao....Kuna aliesema.tutakusanya maximum 2 to 4 point kwenye games 6 anzia ile ya Spuds....Leo wanaleta story mpya

Game na City we are winning by a one goal margin....either 2-1 au 3-2
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom