utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
All the best mkuu......
Mkuu unavaa jezi medium au large? Nimepita sehem nimeona uzi mmoja hatari sana wa arsenal..
All the best mkuu......
J2 EMT ni patashika nguo kuchanika...mtoto hatumwi dukani...nani ake juu ya mwenzake...lol.
Hivi ni leo? Headings za magazeti hapo kesho.
Arsenal pulls off one of the greatest comebacks in Champions League history.
Ila mie macho yangu nimeyaelekeza pale anfield Jumapili mchana.
kanifundisha yeye kula Viporo,huyo dua lake halinipati
Mkuu mpira utakua mzuri sn unaweza ukajikumbusha tu majuzi City alitia maguu hapo LFC ukapigwa mpira wa hali ya juu sn na J2 inaweza ikawa ni zaidi ya hapo kwasababu ni vita vya nani akae juu ya mwenzake.... everlenk hapa anajua umuhimu wa huu mchezo.....Mie nataka tuone soka la uhakika kwa dakika zote 90 hata ikiwa 0-0 lakini soka liwe ni la mashambulizi ya huku na kule. Chelsea na So'ton ulikuwa mchezo mzuri sana huku kila timu ikinuia kutoka uwanjani ikiwa kidedea na hatimaye wapenzi wa soka kupata buudani moj nzuri sana wa dakika zote 90.
Kaka sisi wote si ni waingereza? Chelsea, man u, arsenal wote wale wale tu, achana na wafaransa wale...teh teh
Kaka sisi wote si ni waingereza? Chelsea, man u, arsenal wote wale wale tu, achana na wafaransa wale...teh teh
Hahaha hakuna mtu aliyebrainiwashiwa hapa kama Nzi alivyotendwa na Moyes mwaka jana. Liverpool watawa ovateki kama wewe na Nzi mnataka kupanda kidau njooni $100 itatumwa katika foundation yoyote ya choice yenu.
Pazi amepotea kinoma atakuwa anazivuta toka kwa bookies kila wikiendi, timu yao inakuja moto kama treni la kijapan