Kondoo je? Na mbuzi je? Na kuku je? lol! Mwenye ng'ombe na hawa wengine wenye ngamia, kondoo, mbuzi, kuku na bata nani atapewa priority? lol! Wasukuma kwa ng'ombe! wasio na ng'ombe watapigwa kibuti kikali.
Huyu ana mapenzi ya kweli na Gunners ingawaje hataki kukubali hivyo. Hii mechi ya leo kwake ni ngumu sana kuiangalia ndio sababu akasepa mapema. Iko siku ataamua kuja hadharani na kusema yeye ana mapenzi makubwa na Gunners ila alirubuniwa na kuhamia MANU. 🙂🙂
CC: everlenk.
ARSENAL ATACHEZA ROBO FAINALI NA BARCELONA KATIKA UEFA CHAMPIONS LEAGUE BAADA YA KUITOA MONACO KWA AGGREGATE YA 5-3..
Kuendelea kupata miujiza kama hii.. Tuma neno MIUJIZA kwenda 15678..
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Labda, ila Spurs siku zote anaokotwa na United. Usisahau nasisi kutokupoteza game this year ni nguvu tosha ina drive team yetu
Red : Nipo tayari kwa hilo
Blue : Unaonaje atakayeshindwa bet hiyo hela hiyo aichangie Jamiiforums ?
Pazi Summer lazima afunge mkanda kwenda kwa bimkubwa , katengeneza hela nzuri sana kutoka kwa bookies ila jumapili akibet kaliwa lol
Lakini : Mkuu mbona Liver unawapigania mno kuliko timu yako ? Wewe utakuwa una jezi ya Liverpool kwako
Siku zote? Wakati kabla ya J2, katika last 5 games, United alikuwa hajamfunga Spurs!
Jezi niliyonayo inasema "I hate all 19 teams but Arsenal" Nataka Liverpool waibebe nafasi ya 4 mkosekane UCL msimu wa pili mfululizo
Mkuu maneno na majigambo yetu hayana nguvu ya kubadili matokeo ya mechi ya jumapili, Tusubirie dk90 za mchezo jumapili!
Asante kwa kunikumbusha, last 5 games.
Uliielewa lakini hiyo post? Niliongelea game ya J2 iliyopita kati ya Spurs na United...
Hahahaha!! Basi sawa......
Dada umeisha jiandaa kisaikolojia?