Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tots wehu hawa

Dada naona mgonjwa kanywa uji basi mategemeo kibao!Anfield nakuchapa kiurahisi sana

Aaah!!! Wapi my kaka next week utashangaa na roho yako, utanifanya siku hiyo nijivuruge kwaajili yako, lol...shindwa shetani!!!
 
nipogo sana tu mamy....yani jana heinken zilishuka vizuri sana.....walinipa raha sana MAN U....mana eeh tulikuwa atunywi maji kisa arsen8 walitufunga....

Yaani jana ni raha sana acha tu;!!! Leo nimeingia ofisini mneeene nasumbaaje hapa nilipo!!!!! Basi kuanzia leo usitoroke tena kambi bana tuwe wengi huku......
 
Kwa shingo upande sana everlenk hongera kama goli la rooney

Hahahahaha!!! Asante sana mtani, we nyosha tu hiyo shingo usiiweke pembeni usinipe tabu ya kukukanda hapo badaye,watu wa LFC mmeumia sana kuliko huyo Kane mwenyewe.........
BTW leo unachomoka???? Me sina hiyana nakutakia kila la heri.......
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha!!! Asante sana mtani, we nyosha tu hiyo shingo usiiweke pembeni usinipe tabu ya kukukanda hapo badaye,watu wa LFC mmeumia sana kuliko huyo Kane mwenyewe.........
BTW leo unachomoka???? Me sina hiyana nakutakia kila la heri.......

Hahaaaa

Kwa mbinu zozote zile ushindi ni muhimu ingawa Jonjo na Ki wanajaribu kunifanya nione game kuwa balance
 
Huyu lucy van girl lazima tumfukuze

ImageUploadedByJamiiForums1426527306.786741.jpg
 
Hahahaha!! Ngoja nitafute kamusi ya kisukuma nitakuja.....

Dada naona umechukia sana kwa sisi kumchapa Swansea kwake hasa ukizingatia kuwa Swansea kakuchapa wewe home and away

Jumapili nakufirigisa vibaya sana,usikimbie online pls ehehehehe
 
Back
Top Bottom