Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

11070445_10152834653657746_1936227450251533449_n.jpg
11060091_10152834653617746_7616836231381215988_n.jpg
17820_10152834653502746_6345138918383427218_n.jpg
 
LVG amegundua aliuziwa alikodishwa fahari gumba/tasa lisilozalisha DonDonald

Unamsema Ozil au ???? au yule ambaye hajawahi kupata wa kumfananisha naye kwa kuwa flop Reyes? lol hata Shevchenko na Mateja Kazman walikuwa wanatupia tupia kidogo
 
De Gea lazima awachomoke tu...Real Madrid wanamtolea macho kinoma kama mrithi wa Casilas.

hata kama madrid wasipomtaka hawezi kukaa kwenye timu bovu hili...bora hata aende qpr kwa mkopo.
 
Van Gal haishi vioja leo Blind Beki 3 wakati anajua kabisa hana speed kali na Tot ni wabanaya kwenye winga wana mbio sana ni bora Young angeanza tu Beki 3 kuliko Blind
 
Msishangilie sana aisee hii timu yenu haiaminiki
Cc everlenk
 
Last edited by a moderator:
Unamsema Ozil au ???? au yule ambaye hajawahi kupata wa kumfananisha naye kwa kuwa flop Reyes? lol hata Shevchenko na Mateja Kazman walikuwa wanatupia tupia kidogo
Lol Reyes alikuwa anawatesa kina Neville brothers hadi wakakodisha viatu vya Salum Kabunda, na Godwin Aswille.Falcao ni bonge la flop zaidi ya waliotangulia kucheza EPL
 
Back
Top Bottom