Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ahhhh!!! Tuweke ushabiki pembeni jana wala hamkucheza ajabu sana ilikuwa kawaida nilitegemea ile red mngetunywesha mvua ya mabao si mchezo maana tayari wachezaji wetu walikuwa wameshapanik kukawa no gud communication.

Garasa kawaida kuonyesha respect magarasa yen mangapi yanawatesa hadi mwayaita Yuda Iskariote, juzi na Monaco garasa lenu moja liliwaliza.

kilio changu hakiwezi kukupa wewe faraja
mla mla leo mla jana kaahakunya

Huyo di maria ameingia kikosi kibovu cha epl wiki mbili mfululizo ila hamumuiti garasa
hapa ndipo neno unafki linapochukua sura yake
Yule falcao analipwa hela nyingi kuliko mchezaji yeyote uingereza ila anavyofanya aibu naonaga mimi
flop giroud msimu uliopita hakuna mchezaji wako aliyemzidi magoli
naupenda sana mpira unakufanya uongee unachojisikia bila fact teh teh teh

kwa taarifa yako sasa UEFA mtaendelea kuangalia kwenye tv msimu ujao

11047926_10203429690955567_6628335251627586188_n.jpg
 
Game nyingi sana team selection na sub za LVG ndio zinasababisha tunafungwa,game ambayo unatakiwa ushinde kwa nini unampanga Fellaini no 10 unamuacha Mata.Beki yetu inajulikana ni mbovu so tunapaswa kuwa tunatengeneza nafasi na kufunga magoli mengi,EPL sio michuano umefungwa kocha umekaa jukwaani.Kocha anaboa sana

hana utamaduni wa kwenda kusimama kwenye mstari,mwenyewe anakwambia maelekezo anayowapa changing room yanatosha huwez kumsimamia mchezaji kama mtoto mdogo
 
Kwani jana hakuwa na yale macounter book yake as if ni mwanafunzi wa a level pcb au pcm?
 
Akibadili falsafa yake..... falsafa yake inaua vipaji vya vijana cheki sometime Di Maria anavyotia huruma anaonekana si lolote,Falcao,Mata wanaonekana kama wachovu tu.....

Si ndo hapo ila all in all anayo nafasi ya kujirekebisha though yeye hatabiriki mchezaji anaweza kufanya vizur akamweka nje.
 
Alikosea sn Van Gaal kumtoa Danny, sijui sababu ilikua ni kumleta Falcao? au alimtoa kutona na rangi yake? nakumbuka hapo nyuma wakati wa Babu Alex alikua akiwapanga hapo mbele Danny an Robin van Magoli walikua wanasumbua sn maan huyu Shabbaranks ni mkukurukaji kishenzi alafu akipata mipira anamuachia Van Magoli basi inakua ni kutupia tu. na baadhi ya michezo alikua anampanga Rooney, van magili na Danny, ilikua ni shidraaaaa mkuu.

Van Gaal anapaswa ajitathimini upya mpk sasaivi maana hili kombe km msingetolewa na mngelipata lingeleta hali fulani kwa timu na kuongeza moyo wa timu uliopotea.
kitu kilichonishangaza zaidi ni kwamba wakati lvg na falcao wote wazima alikuwa anafanya kosa la kulazimisha kuwapanga wote matokeo yake rooney akawa anampanga kama wing au kama midle leo hii rvp mgonjwa nikajua itakuwa nafuu kwake hatoumiza kichwa coz ana selection moja tu matokeo yake anamweka sub na hamtumii. Yaani kila nikifikiria sipati kumwelewa point yake ni nini hasa
 
kitu kilichonishangaza zaidi ni kwamba wakati lvg na falcao wote wazima alikuwa anafanya kosa la kulazimisha kuwapanga wote matokeo yake rooney akawa anampanga kama wing au kama midle leo hii rvp mgonjwa nikajua itakuwa nafuu kwake hatoumiza kichwa coz ana selection moja tu matokeo yake anamweka sub na hamtumii. Yaani kila nikifikiria sipati kumwelewa point yake ni nini hasa

philosophy.....
 
MO11;

Bahati mbaya sisi hatujui mipasho, sasa soka likigeuka mipasho hiyo ni balaa!!! Ndo maana nimekwambia tuweke ushabiki pembeni tuzungumze soka kama soka,palipo haki kosoa na pongeza palipo sawa.

Mchezaji yoyote akishatoka katika timu yake husika akienda kwingine kwa timu ile aliyotoka always huonekana ni garasa tu hata kama ataendelea kuwa mzuri,ndo maana nikakujibu ni kawaida magarasa kuonyesha respect pindi wanapokutana na zile timu walizotoka kwahiyo no wonder kwa Welbeck kufunga ndo maana nikakukumbushia wewe juzi na Monaco.

Falcao na Di Maria wala si wachovu kihivyo Bali falsafa ya LVG inawauwa, na wangekutana na mwalimu nwenye falsafa inayoeleweka wale ni bunduki nzuri tu na wangefanya maajabu ambayo wengi tulitazamia.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom