Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata sina nguvu za kuchangia chochote hapa. Tukishinda weekend itakuwa faraja sana kwetu.
 
sawa naaacha mipasho
umeona ratiba lakini?

Ndiyo nimeiona na kiukweli kabisa bila unafiki iko tight lakini bado tumaini lipo tunaweza tukafanya something na hii itategemea sana pale LVG akiamua kubadilika ila akiendeleza mambo yake hatari kubwa ipo mbele yetu........
 
Kuteleza si kuanguka wahenga walisema. Ngoja tuone hadi mwisho wa msimu kama kuna tutakachovuna cha maana. Otherwise lvg naye atupishe tu na falsafa yake.
 
Hata sina nguvu za kuchangia chochote hapa. Tukishinda weekend itakuwa faraja sana kwetu.

Aiseee!!! Pole sana tuangalie yajayo tu labda LVG kwa mechi ya jana atakuwa amejifunza kitu, jpili Barcelona na Simba walinipa raha jana raha yote ikayeyuka kama barafu ila sasa nimeshakubali tuamini tu tunaweza.......
 
Aiseee!!! Pole sana tuangalie yajayo tu labda LVG kwa mechi ya jana atakuwa amejifunza kitu, jpili Barcelona na Simba walinipa raha jana raha yote ikayeyuka kama barafu ila sasa nimeshakubali tuamini tu tunaweza.......

Huyu mzee anajifunza bas, anabadili kikosi kila kukicha. Tuna wachezaji wazuri sana ila sasa mipango mibovu. 2013 tulichukua ubingwa wa epl tukiwa na wachezaji wa kawaida sana kuliko hata hawa tulionao.
 
Mkuu pole sana jipe moyo, changia tu kwenye mapungufu uliyoyaona so far.

Mkuu Mr. Wise
Huyu mzee hatutendei haki kabisa, zile sub 2 zisizo na kichwa wala miguu zilikuwa na maana ipi?
Pengine labda waliumia tofauti na hapo alizingua. First half timu iliperfom vizuri tu na ndiyo sababu tulianza kufungwa lakini bado tulipush mashambulizi tukafanikiwa kusawazisha. Wenger jana kaonekana bonge la kocha kwani alifanya sub za maana ndo akazidi kutuminya mbavu.
 
Last edited by a moderator:
everlenk;

''Wangekutana na mwalimu mwenye falsafa inayoeleweka''!!!! Una maanisha mwalimu na kocha mwenye falsafa inayoeleweka the Professor Arsene Wenger?
 
Last edited by a moderator:
''Wangekutana na mwalimu mwenye falsafa inayoeleweka''!!!! Una maanisha mwalimu na kocha mwenye falsafa inayoeleweka the Professor Arsene Wenger?

Hahahaha!!!! Wewe ni Arsenal siyo?? Uuuuu huyo babu ni matatizo zaidi ya LVG ila kuna wakati akiamua huwa anapatia game, sasahivi mmetulizwa kelele za Wenger Out kimya kabisa!!!!!!!!!!
 
Mtani everlenk sijui nikwambiaje .... Ila anyway pole ingawa najua ushapoa maana simba walifanya yao 😉😉😉

Hahahaha!!! Acha tu nilitegemea jana ningeendeleza cheko lakini wapi!! Ndo soka mtani nashukuru hata kwa kuja hapa kunipoza moyo maana jana nilikuona mitaa flani unashangilia ile mbaya nilipofungwa, 😀😀
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!!! Acha tu nilitegemea jana ningeendeleza cheko lakini wapi!! Ndo soka mtani nashukuru hata kwa kuja hapa kunipoza moyo maana jana nilikuona mitaa flani unashangilia ile mbaya nilipofungwa, 😀😀

Hahaahhaaa nilicheka sana ... Ila nilipenda goli la rooney.... Basi mtani endelea kufatilia EPL tu 😛😛😛
 
Hahahaha!!! Acha tu nilitegemea jana ningeendeleza cheko lakini wapi!! Ndo soka mtani nashukuru hata kwa kuja hapa kunipoza moyo maana jana nilikuona mitaa flani unashangilia ile mbaya nilipofungwa, 😀😀

Siku hizi nipo bize sana hadi nashindwa kuangalia mechi. Jana nimeangalia matokeo hadi hasira
 
Hahahaha!!!! Wewe ni Arsenal siyo?? Uuuuu huyo babu ni matatizo zaidi ya LVG ila kuna wakati akiamua huwa anapatia game, sasahivi mmetulizwa kelele za Wenger Out kimya kabisa!!!!!!!!!!
Ha ha ha ha ha.

The nickname "Le Professeur" is used by fans and the British media to reflect Wenger's studious demeanour. His approach to the game emphasises an attacking mentality, with the aim that football ought to be entertaining on the pitch.

Wenger earned a reputation for spotting young talent, and he has remained focused on developing a youth system; his clubs develop young players instead of buying expensive, experienced ones. Arsene Wenger, also known as "The Professor" and "The King of deals" is one of the greatest coaches of all time.

His success is due not only to his unique talent as a coach, Arsene Wenger is a very educated man. He has an education in engineering of the University of Strasbourg and master degree in economics. He speaks French, German and English and comprehends Italian, Spanish and Japanese. Wenger holds 11 personal awards and is recognized for his great impact on the Premier League.

The positive, new features he brought to the Premier League are mainly related to the training process, nutrition diet of the players and most of all the phylosophy that the football game must first of all bring delight to the fans
 
Nasikia hali inazidi kuwa tete Old Trafford, Giggs anataka kufanya mapinduzi muda wowote kuanzia jumapili.
 
Siku hizi nipo bize sana hadi nashindwa kuangalia mechi. Jana nimeangalia matokeo hadi hasira

Ebana nilisikia tetesi kuwa ulikuwa umejining'iniza baada ya Welbeck kuwatungua. Kumbe bado u hai.
 
Frankly speaking Mimi huyu refa hapa hakunifurahisha hata yellow haikutoka then kwa Di Maria akatoa ya pili.......

Jibu la hii ni kuwa Hart ni mzawa, Di Maria ni mgeni. Marefa, media huwa zinaonyesha favoritism kwa wachezaji wazawa. Hata wachezaji wazawa vs wazawa huwa ni mara chache kupandishiana kuliko wazawa vs wageni au wageni vs wageni. Chunguza utagundua hili.
 
Back
Top Bottom