swali la msingi watakaa hapo hadi mei mwisho wa ligi ? hawawezi , atatolewa tu na liverpol kwa sababu mani ana game nne ngumu ambazo hawezi kushinda zote wakati liverpol ana mechi mbili ngumi . ndio maana nikasema man kucheza uefa mwakani ni ngumu kama ilivyo ngumu kupata damu toka kwenye mwamba.
Manchester United team news
Starting XI: De Gea, Valencia, Smalling, Rojo, Shaw, Blind, Herrera, Di Maria, Fellaini, Young, Rooney
Subs: Valdes, Rafael, Jones, Carrick, Januzaj, Mata, Falcao
Manchester United team news
Starting XI: De Gea, Valencia, Smalling, Rojo, Shaw, Blind, Herrera, Di Maria, Fellaini, Young, Rooney
Subs: Valdes, Rafael, Jones, Carrick, Januzaj, Mata, Falcao
Valencia anapoteza malengo ya kukaba kwa kwenda kukaba zone sio yake